Wadau kila petrol station ninayopita petrol hakuna, hii imekaaje?
<br />Mkuu wa kaya hata hakemei? kweli anaharibu nchi hivihivi, akemee basi nchi iwe na kanidhamu basi! Dah!
<br /><br /><br />
<br /><br />
hilo sahau,endelea na kazi zako,,,,,unasubiri kemeo????angekemea wakat gari lake lilipochakachuliwa moshi
Wadau kila petrol station ninayopita petrol hakuna, hii imekaaje?
Kama mkuu wa Nchi angekuwa safi, angeweza kwenda kule uarabuni kuongea na uongozi wa wazalisha mafuta wasituumize kwenye bei, ningemuona ni Rais wa maana sana, sijui kama hilo alilifanya!
<br />Bei inayotoka huku Uarabuni siyo kubwa kiasi hicho. Tatizo ni michango mnayochangishwa kwa jina la kodi kwa manufaa ya mafisadi
Mkuu wa kaya hata hakemei? kweli anaharibu nchi hivihivi, akemee basi nchi iwe na kanidhamu basi! Dah!
Mkuu wa kaya hata hakemei? kweli anaharibu nchi hivihivi, akemee basi nchi iwe na kanidhamu basi! Dah!