KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Toka jana mji wa tabora umekumbwa na uhaba wa petrol.vituo vya kuuzia bidhaa hii misururu ya pikipiki na magari ni mirefu. Kuna mtu ameninong'oneza kuwa, kuna uwezekano ni hujuma inayofanywa na wafanyabiashara ya bidhaa hii. pamoja na kuwa siku ya leo ni sikukuu na mapumziko wa mwisho wa wiki, shamrashamra si sana kama tulivyozoea.