Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Jan 27, 2012 #1 Wadau tangu Jumatatu nasikia huko Dar...kuna uhaba mkubwa wa maji mbona DAWASCO wapo kimya?
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Jan 27, 2012 Thread starter #4 Kuna jamaa kaniambia Sinza A na Kijitonyama hakuna maji kabisa...
N Nsuri JF-Expert Member Oct 3, 2011 1,013 558 Jan 27, 2012 #5 Hata mbezi beach hakuna maji toka juzi na hakuna taarifa yeyote!
K Kiumbe duni Senior Member Dec 3, 2011 100 8 Jan 27, 2012 #6 Tusker Bariiiidi said: Wadau tangu Jumatatu nasikia huko Dar...kuna uhaba mkubwa wa maji mbona DAWASCO wapo kimya? Click to expand... Huyo jamaa mwambie ahamie kawe, hakuna shida ya maji wala umeme. Vyumba bei poa sana elfu 25 mpk 50.
Tusker Bariiiidi said: Wadau tangu Jumatatu nasikia huko Dar...kuna uhaba mkubwa wa maji mbona DAWASCO wapo kimya? Click to expand... Huyo jamaa mwambie ahamie kawe, hakuna shida ya maji wala umeme. Vyumba bei poa sana elfu 25 mpk 50.
OTIS JF-Expert Member Sep 7, 2011 2,251 827 Jan 27, 2012 #7 Watu wa dar wamekaa kimya. Wewe wa mpitimbi unasema maji hakuna. OTIS