Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,683
- 8,829
Nimesikia kuna ugonjwa unaitwa pangusa, mwanaume akiwa nao na asipopata matibabu kwa wakati basi uume wake huanza kukatika vipande na kutoweka kabisa.
Je kwa wanawake dalili za ugonjwa huu ni zipi? Na ni yepi madhara yanayoweza kumpata dada aliyeathirika na gonjwa hili?
Je kwa wanawake dalili za ugonjwa huu ni zipi? Na ni yepi madhara yanayoweza kumpata dada aliyeathirika na gonjwa hili?