Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

hao wameleta topic yao wenyewe ili kutangaza biashara, tukianza kujadili ndo tutakuwa tunatangaza dawa zao za kienyeji ambazo hazina hata ufafiti hizo. mtu uko buguruni halafu unasema umetafiti na kuona dawa ya vidonda vya tumbo. naomba watu muwe makini, msichezee maisha yenu shimoni. wakati mwingine hawa madoctor na maprofesa wetu wa magomeni na buguruni, wanaweza wakakupatia dawa ya kutuliza wiki moja, ikaibua tatizo la miaka hamsini. na naomba Mungu wasiwe ni maajenti wa shetani kama walivyo freemason.
 
Dawa ya vidonda vya tumbo Mfahamishe huyo jamaa anayeumwa na Vidonda vya Tumbo atumie Dawa ya Hii ya Kienyeji Akiamka Asubuhi kabla ya kula kitu akojowe mkojo wake mwenyewe kwa kipimo cha Glasi moja awe anakunywa mkojo wake kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa Siku Saba kisha Aende kupima hivyo Vidonda vya Tumbo Vitapona na kukauka kabisa Mwambie ajaribu kutumia hiyo Dawa itamsaidia Sana.

https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/26847-dawa-ya-vidonda-vya-tumbo.html
ya mkoja ni dawa ya vitu vingi lakini hakikisha huna magonjwa ya zinaa.
 
Wakuu JF,
Mimi niko nje ya DAR na nimesikia kuna Mtu anaitwa DR. RAHABU amegundua dawa ya kuponya vidonda vya tumbo, ULCERS .
Je wakuu, habari hizi zina ukweli wowote wa kitaalamu?
Eti dawa hiyo inatolewa kwa mazingira ya kutatanisha kama si ya kitaalamu?
Naomba kujuzwa.
hiyo ya Dr. Rahabu hata mimi huwa naona kwenye Tv na watu walioitumia wakitoa ushuhuda wao kuwa wamepona tena yeye dawa zake anasema zimethibitiswa na wizara ya afya. hivyo zina viwango na hazina madhara.

ili uende kwake na akupe hizo dawa lazima uwe na cheti cha daktari kinachoonyesha kuwa kweli unavidonda. hivyo kwa nionavyo mimi sio tapeli kama wengine wanavyoita. kama ni kweli amegundua hiyo dawa na imethibitishwa na watu wanapona tunampongeza. ni hatua moja mbele kwa taifa letu. maana hata hizo dawa mseto na quinini za malaria na yinginezo nyingi zinazotumika mahospitalini zinagunduliwa na binadamu kama sisi, au kwa kuwa ni watu weupe ndio tunaziona za maana sana wakati zimejaa 'side effect' kibao? ila akigundua mtanzania au mtu mweusi ataitwa tapeli, mganga njaa, na majina mengimengimengineyo. Loh!
kwa stail hiyo hatuachaa kutemewa mate. kwa sababu vilivyo bora kwetu hatuvioni.

ukiumwa kichwa kidogo hospitali, mtu mweusi akikwambia kichwa kikikuuma kunywa maji mengi ni dawa ila maumivu yakizidi ndio umuone daktari pengine kitakuwa kuna kitu kingine kinakusumbua utamwambia ni tapeli. Bora ukanunue panadol unywe hahaaa. ndio yale yale.

Mimi nionavyo mtu anayetumia ramli, au dawa za mashariti sijui ukinywa chungulia ******, au ukipaka kakae kwenye kaburi, ukioga chini ya mbuyu n.k hao ndio matapeli. lakini mtu anayekwambia chukua asali na limao unywe kutwa mara tatu, punguza kula vyakula vya aina ya mpira vinasababisha kufunga choo, au majani ya chai yana caffein punguza au acha, au pendelea sana kuwa vitunguu swaumu vina kinga nyingi za magonjwa utapeli wake ukowapi? limao hakununuli, unanunua mwenyewe, asali unanunua mwenyewe na ukiangaliwa vitu vyote hivyo vinafaida katika mwili wa binadamu ila kwa kuwa ulikuwa hujui na mtu anayejuwa kuwa vitu hivyo ni dawa na ametokea akasema ili wale wenzangu na mimi tusiojua tujue tusishindie kula chips, kuku, mayai, bia, nyama choma kila siku kwa kuwa tu tunaweza kuvipata kila siku basi ooh tapeli, mganga njaa n.k.

Ndio maana vitambi, presha,kisukari, shapeless(hujui kiuno kiko wapi, tumbo liko wapi na mgongo uko wapi), n.k havituishi lakini vyote ni chanzo cha malaji mabaya. ni watu wangapi hivi sasa wanasumbuliwa na constipation, na hayo magojwa mengine na hosipitali ni ngapi zipo kila kona hata za madaktari feki? kwa nini wagonjwa hawaishi hospitalini? Watoto wangapi ukiwaangalia leo hii ni vinene, vinene, tu kwa ajili ya chips na mayai lakini akili kichwani hakuna wanasubiri kuiba mitihani. lakini mabibi, mababu zetu na wazazi wetu wa miaka hiyo walikuwa strong kwa ajili ya natural food na akili za shule walikuwanazo waliosoma walioma hasa hawakusubiri kununua paper, ilikuwa mtu akifaulu mpaka anapelekwa shule za wenye vipaji kweli anastahili. sio vyakula vya sasa vingi vya viwandani ambavyo vina expire date,chips, chocolate, nyama choma na nyama zenyewe zilizonenepeshwa na vikorombwezo viingi lakini mwisho wake hata akili kichwani zinapungua, magonjwa ya kila aina kila siku yanazuka mapya. tumefika kwenye point of no return ya kuchanganyikiwa hivyo akitokea mwema akiwaambia vitu asilia ni dawa atakoma hayo majina atakayoitwa mpaka atashiba.
 
Nawahakikishia mkojo ni dawa kiboko kwa magonjwa mengi. Kwa mfano ukiungua na maji au mvuke mkali au moto, imagine kuungua vilivyo. Jambo la kwanza kojoa mkojo wako na mwagia mahali ulipoungua (ila usisugue bali mwagia). Ngozi yote itabaki intact na jeraha wala kidonda hakitatokea na utabaki na ngozi yako asili. Kama huna mkojo na kuna mtoto mdogo mwambie akojoe ujipake mara moja (tunatutumia watoto wadogo maana kiimani tunajua bado hawajaingia katika misukosuko ya magonjwa ya Zinaa).

Hata hivyo kwa maisha ya sasa mkojo wa mtu mwingine hata kama ni mtoto ni hatari hasa kwa janga la ukimwi maana hata watoto wadogo wanakuwa victim wa makosa ya wazazi wao.
 
Ulcers

Simply stated, an ulcer is an open wound. Ulcers can occur inside the mouth, on the skin, or elsewhere on the body. But when people say "ulcers," they're almost always referring to sores either in the stomach (called gastric ulcers) or at the junction of the stomach and small intestine (duodenal ulcers). Collectively, these are known as peptic ulcers-peptic meaning digestive.

The pain associated with ulcers is caused by stomach acid, which is very caustic. "If you were to put stomach acid on your skin, you'd get a very nasty burn;" says Anne Simons, M.D.
Normally, the acid doesn't burn your stomach, because the stomach cells secrete thick mucus that creates a protective barrier. The cells also produce a natural antacid that provides a chemical shield against damage.
If either of these protective mechanisms fails, the acid can easily burn your stomach cells. This is how an ulcer forms-and it also accounts for the pain that an ulcer causes.
Ulcer pain tends to be worst between meals and at night, when your stomach is empty. When your stomach is full, the acid can work on breaking down food rather than gnawing at stomach cells.
But pain isn't the only symptom of ulcers. These sores can also produce nausea, vomiting, a bloated feeling after meals, and black, tarry, foul-smelling stools.
Ulcers were one of the first conditions attributed to stress. Doctors believed that stress stimulated the release of excess stomach acid, which in turn burned holes in the stomach's mucous lining. Then in the early 1980s, two Australian doctors proposed that most ulcers result not from stress but from bacteria called Helicobacter pylori. The doctors arrived at this conclusion after noticing that the majority of people with ulcers have H. pylori in their stomach tissue.
The bacteria are able to survive inside the stomach because, just like stomach cells, they produce their own antacid. With long, swishing tails to power their progress, the bacteria burrow through the stomach's mucous lining and into the cells underneath.
"It seems H. pylori must be present for ulcers to develop," says Alan P. Brauer, M.D. "But the infection by itself isn't sufftcient to cause ulcers."
In other words, some other factor must create the conditions necessary for H. pylori to do their dirty work. Once again, the primary suspect is stress. And the stress-ulcer connection is supported by the findings of several studies, including one sponsored by the Centers for Disease Control and Prevention (CDC) in Atlanta. If you think that you have an ulcer, but you haven't been officially diagnosed, your first step is to see your doctor. Your doctor can test you for H. pylori infection using what's called a urea breath test.
For H pylori ulcers, the treatment of choice is a drug regimen that features antibiotics. But recently, many mainstream and al­ternative practitioners have begun to endorse a blended approach that uses a combination of alternative therapies, home remedies, and over-the-counter drugs to complement the prescription medications.
Best Choices
Nutrition
Be a bean counter. In 1986, Harvard researchers determined that the fiber in beans was most protective, while the fiber in fruits and vegetables was moderately protective.
But how does any fiber prevent ulcers? It slows the rate at which the contents of your stomach empty into the duodenum on their way to your small intestine. The slower your stomach empties, the lower the concentration of stomach acid in your duodenum, the place where most ulcers develop.
Fiber not only prevents ulcers but also helps treat them, says Joseph PizzornoJr., N.D. When people with ulcers increase their fiber intakes, they're less likely to get ulcers again.
To increase your fiber intake, fill your plate with whole grains, beans, fruits, and vegetables. Try to get at least 25 grams of fiber a day, the Daily Value.
Add a little heat to your meals. For a long time, mainstream physicians prescribed a bland diet for people with ulcers, believing that spicy foods aggravated the condition. As it turns out, though, hot peppers may actually help heal ulcers. Capsaicin, the compound that gives hot peppers their heat, appears to be particularly beneficial.
"Capsaicin appears to work its magic by stimulating nerves in the stomach wall," say pharmacists Joe Graedon and Teresa Graedon, Ph.D., coauthors of The People's Pharmacy books. "This dilates blood vessels and improves blood flow to the stomach wall, which supports healing." To get capsaicin, all you have to do is eat more jalapenos and other hot peppers.
Forget milk. Doctors used to tell people with ulcers to drink lots of milk to neutralize stomach acid. Now doctors know that milk's antacid effects work only briefly, says Melvyn R. Werbach, M.D., assistant clinical professor at the University of California, Los Angeles, School of Medicine. And once those effects wear off, milk actually stimulates acid secretion. While you don't have to give up milk and milk products completely, cutting back is probably a good idea.
Avoid irritating beverages. Coffee, tea, and alcohol also increase stomach acid secretion, Dr. Werbach says.
Eat dinner early. Eating early reduces nighttime stomach acidity, which can help control ulcer pain in the wee hours. In one study, 23 people ate the same breakfast at 7:00 A.M. and the same lunch at noon. Then they ate dinner at either 6:00 or 9:00 P.M. Those who ate early produced less stomach acid during the night than those who ate late.
Supplements
Reinforce the barrier. Naturopaths believe that strengthening the stomach's mucous lining can help deter H pylori from burrowing into it. Supplementation with vitamins A, C, and E and the mineral zinc can "improve stomach integrity," according to naturopath Enrico Liva, N.D., director of the Connecticut Center for Health in Middletown.
For people with ulcers, Dr. Liva recommends taking a daily multivitamin/[COLOR=#3b9114 !important][COLOR=#3b9114 !important]mineral [COLOR=#3b9114 !important]supplement[/COLOR][/COLOR][/COLOR]. He also suggests twice-daily doses of each of the following: 25,000 international units of beta-carotene, which the body converts to vitamin A; 1,000 milligrams of buffered vitamin C; 1,000 milligrams of flaxseed oil, a source of vitamin E; and 15 milligrams of zinc. But talk to your doctor before supplementing with beta-carotene at this level. You can buy all of these supplements in health food stores and many drugstores.
Elimination Diet
Cut out the ulcer aggravators. Research has shown that the same elimination diet used to identify food intolerances can also help heal ulcers. People with ulcers tend to be most sensitive to corn, chocolate, cola, sugar, and foods made with white flour. Citrus, peanuts, soy, shellfish, and dairy products have also been linked to ulcers.
An elimination diet is best followed under the supervision of a nutrition-minded doctor.
Visualization
See your ulcer healing. At the University Hospital of South Manchester in England, researchers taught a visualization technique to people with ulcers. The researchers found visualization to be "unequivocally beneficial" in relieving ulcer pain. You can try this therapy on your own by practicing the following exercise, recommended by Gerald N. Epstein, M.D., director of the Academy of Integrative Medicine and Mental Imagery in New York City.
Close your eyes. Slowly inhale and exhale three times. As you continue this slow, relaxed breathing, envision a mermaid with flowing golden hair and a sleek, silvery body and tail. She's swimming rhythmically through your digestive tract, which is calm. Sense her there. Watch her swim to any places where you feel cramping, pain, or any other symptoms. Have her touch those areas and gently massage them until they are healed and you no longer feel discomfort. See her complete her swim through your digestive tract, making sure that everything is in order. When she's done, open your eyes. Repeat this exercise three or four times a day.
Herbal Medicine

Elude pain with licorice. When researchers began analyzing licorice for its ulcer-healing compounds, they identified glycyrrhetinic acid, a potent anti-inflammatory that heals ulcers in both animals and humans.
You can buy chewable tablets of deglycyrrhizinated licorice in health food stores. Take two to four 380-milligram tablets 20 minutes before eating or between meals, advises Seattle naturopath Michael T. Murray, N.D.
Discover a new use for ginger. You may know ginger as an effective remedy for [COLOR=#3b9114 !important][COLOR=#3b9114 !important]indigestion[/COLOR][/COLOR] and motion sickness. But you may not realize that the herb contains 11 compounds with scientifically verified anti­ulcer properties, says James A. Duke, Ph.D.
Home Remedies

Use pain relievers prudently. Both aspirin and ibuprofen belong to the class of medications known as nonsteroidal anti-inflammatory drugs (NSAlDs). These are the most likely to trigger or aggravate ulcers. So if you have an ulcer, you shouldn't take aspirin or ibuprofen, Dr. Simons says. If you've never had an ulcer but the condition runs in your family, you'd be wise to limit your use of these medicines-or better yet, not to use them at all.
Stop smoking. When you smoke, your stomach empties faster, which exposes your duodenum to high concentrations of stomach acid, Dr. Pizzorno says. Smoking also impairs the production of natural antacids in the stomach.

Other Good Choices
Homeopathy

Let a little medicine do a lot of good. A number of homeopathic medicines have been proven effective as ulcer treatments, according to homeopath Dana Ullman. Among the medicines he prescribes are Argentum nitricum, Arsenicum album, Hydrastis, Kali bichromicum, Kali carbonicum, Lycopodium, Mercurius, Nux vomica, Phosphorus, and Pulsatilla. To find out which of these best suits your symptoms, consult a homeopath.
Chinese Medicine
Support your Stomach and Spleen. Practitioners of [COLOR=#3b9114 !important][COLOR=#3b9114 !important]Chinese [COLOR=#3b9114 !important]medicine[/COLOR][/COLOR][/COLOR] attribute ulcers to a weak, cold Stomach and Spleen, says Efrem Korngold, O.M.D., L.Ac. For people with ulcers, he usually prescribes the herbs coptis, which has anti-inflammatory properties, and ginger and erodia fruit, which are warming. He may also recommend a Chinese medicine called Yunnan Bai Yao.
Score points against pain. [COLOR=#3b9114 !important][COLOR=#3b9114 !important]Acupuncture[/COLOR][/COLOR] does such a good job of treating ulcers that it has won the endorsement of the United Nations World Health Organization. But if you prefer a self-care approach, acupressure may work just as well. Apply steady, penetrating finger pressure to each of the following points for 3 minutes.
  • Conception Vessel 12, located halfway between the end of your breastbone and your navel on the midline of your abdomen
  • Stomach 36, located four finger-widths below your kneecap and one finger-width toward the outside of your shinbone
  • Pericardium 6, located in the middle of your inner wrist, 2 1/2 finger-widths above the wrist crease
Ayurvedic Medicine

Rein in Pitta. In Ayurveda, ulcers result from an excess of Pitta dosha, explains John Douillard, D.C., a chiropractor who practices Ayurvedic medicine at the Invincible Life Spa in Boulder, Colorado. Excess Vata dosha may be a factor, too.
To treat ulcers, Dr. Douillard recommends a Pitta-pacifying diet of fresh, well­cooked vegetables and barley water tea. To make the tea, boil 2 cups of barley in 6 cups of water until only 4 cups of liquid remain. Drink three cupfuls of tea each day. Refrigerate any leftover tea and reheat as necessary.

An Ayurvedic ulcer prescription may include licorice, ginger, cloves, cinnamon, and black pepper. For dosage information, consult an Ayurvedic physician.

Over-The-Counter Drugs

Block your discomfort. The H2 blockers-a group of pharmaceuticals that includes Tagamet, Zantac, Axid, and Pepcid-reduce stomach acid secretion. The nonprescription formulations are used primarily to treat indigestion and heart­burn, but they can help relieve ulcer symptoms, too. Follow the package directions for proper dosage.

Control the acid. Antacids such as Turns and Rolaids don't cure ulcers, Dr. Simons says. But they do help neutralize stomach acid, which can temporarily relieve ulcer pain. Follow the package directions for proper dosage.

Medical Measures

Mainstream M.D.'s treat H. pylori ulcers by prescribing a combination of antibiotics; bismuth, such as Pepto-Bismol; and drugs that suppress stomach acid secretion, such as [COLOR=#3b9114 !important][COLOR=#3b9114 !important]omeprazole[/COLOR][/COLOR] (prilosec).
If your doctor gives you antibiotics, take the full prescription. Don't stop just because your pain subsides. The absence of pain doesn't mean that all of the bacteria have been killed. Those that survive can continue to multiply, and eventually the pain comes back. Also, these bacteria are more likely to be resistant to antibiotics, which makes them more difficult to eliminate.

http://www.homemademedicines.org/remedies/ulcers.html
 
Senks 4 the info.
C mara moja nmeskia wenye Ulcers wakisema sitakiwi kula maharage (beans). Au pilipili (pepper) inasababisha ulcers au c nzuri kwa mwenye ulcers!

Sasa nimesoma hapa naona kumbe yote haya ninayosikia hayana ukweli.
Aiseee!
 
Senks 4 the info.
C mara moja nmeskia wenye Ulcers wakisema sitakiwi kula maharage (beans). Au pilipili (pepper) inasababisha ulcers au c nzuri kwa mwenye ulcers!

Sasa nimesoma hapa naona kumbe yote haya ninayosikia hayana ukweli.
Aiseee!

Ikiwa una ulcers ndiyo utajua pilipili ni nini? na ukiwa na ulcers acidic stuff huwezi kugusa. ask people with ulcers watakuambia.
Acheni kudanganya watu. Wenye ulcers wanajua maumivu yanayotokana na ulaji wa pilipili, maharage, nyanya kwa wingi, baadhi ya viungo hasa vya pilau na kadhalika.
 
Ngoshwe thanks for sharing this useful info... nimefurahi sana kujifunza kuhusu maharage, maziwa nk.
 
Mimi nilikubali kuwa mkojo ni dawa baada ya rafiki yangu chuoni(mlimani) alipopona ulcers. jamaa aliumwa ulcers mpaka ikafika stage anatapika damu tu....yani alimaliza hospitali zote hapa mjini...ikafikia stage akarudishwa kwao mara...huko ndipo alipokutana na mzee flani kijijini kwao akamwambia kuhusu mkojo...to be honest jamaa alipona kabisa akarudi chuo na kumaliza mpaka sasa hivi anakula maharage kama kawaida...so msifanye mioyo yenu kuwa migumu..hii ni kwa faida yenu...after all unakunywa mkojo wako sio wa mtu mwingine....
 
Wadau napenda sana mitungi sema tu nasumbuliwa na vidonda. Kwa kuwa konyagi haina gesi inawezekana kutumiwa? Naombeni majibu sahihi
 
Mkuu king mie mwenyewe w end nipo ndani kama mwali kwa matatizo ya kiafya.sasa ww wazungumzia vidonda vya tumbo vilivyosababishwa na kuyeyuka kama si kukwanguka kwa utando ndani utumbo mwembamba hadi ukachunika na kupatikani vidonda vp uiwazie konyagi ambayo ulimini tu inawasha mbaya? AFYA YAKO NI MUHIMU ZAIDI KULIKO KINYWAJI. Jikaze achana na makinywaji ili ufuzu kwenye mitoko epuka maeneo ya vionjo utafanikiwa tu mkuu.
 
Nashukuru, mkuu kwa info. Kiukweli vinakera mbaya. Napenda sana kuwa high nyakati fulani.
 
Wadau napenda sana mitungi sema tu nasumbuliwa na vidonda. Kwa kuwa konyagi haina gesi inawezekana kutumiwa? Naombeni majibu sahihi
Stop habitual drinking for a while hususan vitu vyenye gasi au vikali kama "nyagi". Waweza kunywa gasi ikiwa out lakini kwa kiasi.

Jaribu kuwa unatumia chai ambayo umeunga na asali, vitunguu swaumu (garlic),ndimu na tangawizi (jinja).

It had helped me a lot kuhusu vidonda vya tumbo mzee (sasa kwisha kabisa na mitungi yaenda level)......

Pia kama waweza kupata online, ipo dawa moja ya kichina (if you believe on this), yaitwa Wei Tai 999 (capsule or granule), ni kiboko ya magonjwa ya tumbo ikiwemo ulcers http://www.healthandherbal.com/digestion-and-stomach/stomach-disorder/999-wei-tai-granular/
Tibu kwanza afya bana, vinywaji kila kukicha vyatoka dizaini mpya...
 
.

Stop habitual drinking for a while hususan vitu vyenye gasi au vikali kama "nyagi". Waweza kunywa gasi ikiwa out lakini kwa kiasi.

Jaribu kuwa unatumia chai ambayo umeunga na asali, vitunguu swaumu (garlic),ndimu na tangawizi (jinja).

It had helped me a lot kuhusu vidonda vya tumbo mzee (sasa kwisha kabisa na mitungi yaenda level)......

Pia kama waweza kupata online, ipo dawa moja ya kichina (if you believe on this), yaitwa Wei Tai 999 (capsule or granule), ni kiboko ya magonjwa ya tumbo ikiwemo ulcers http://www.healthandherbal.com/digestion-and-stomach/stomach-disorder/999-wei-tai-granular/
Tibu kwanza afya bana, vinywaji kila kukicha vyatoka dizaini mpya...

thx kwa tips, mkuu. I will work on it
 
.

Stop habitual drinking for a while hususan vitu vyenye gasi au vikali kama "nyagi". Waweza kunywa gasi ikiwa out lakini kwa kiasi.

Jaribu kuwa unatumia chai ambayo umeunga na asali, vitunguu swaumu (garlic),ndimu na tangawizi (jinja).

It had helped me a lot kuhusu vidonda vya tumbo mzee (sasa kwisha kabisa na mitungi yaenda level)......

Pia kama waweza kupata online, ipo dawa moja ya kichina (if you believe on this), yaitwa Wei Tai 999 (capsule or granule), ni kiboko ya magonjwa ya tumbo ikiwemo ulcers http://www.healthandherbal.com/digestion-and-stomach/stomach-disorder/999-wei-tai-granular/
Tibu kwanza afya bana, vinywaji kila kukicha vyatoka dizaini mpya...
Nice comment, asante
 
Nauliza wanajamii kama kuna mtu ambaye akanieleza kuhusu ipi dawa ya vidonda vya tumbo ? please help.
thank you.
 
Back
Top Bottom