Ugonjwa wa Pumu (Bronchial Asthma): Chanzo, dalili na tiba

kausha majan ya mpapai baada ya kukausha twanga majan hayo na kisha chekecha majan hayo na uweke kwny kifuniko tu kidogo. Lamba atleast mara mbil au tatu kwa siku hapo nadhan utakuwa umeweza kuondoa pumu hii imesaidia weng jarbu na ww.
Asante ndugu yangu.
 
Mkuu, mpatie Splina Liquid Chlorophyll ya Edmark, you can google search for testmonies, zapatikana Dar kwa sasa, piga 0784475576
 
Tafuta namna ya kuweza kupata vitu vya asili vitamsaidia.in science hakuna dawa ya pum lakin amin kuwa wakati magonjwa yapo na dawa zote zipo hapahapa dunian na kaz ya wanasayans ni kufanya ugunduz wa hizo dawa! Bt actually dawa zipo na mgonjwa wako atapona.ukitaka msaada ni pm nitakupa maelezo sahihi ya tatizo na namna ya kulitatua.
 
BEST ANTI-ASTHMA FOODS

There might not be a perfect cure for asthma, but we can find many superfoods with a nutrient profile that is particularly well suited for preventing and alleviating asthma symptoms such as shortness of breath, wheezing and chest tightness. Let's take a look at 12 such foods and their asthma fighting qualities.


1. AVOCADOS
- is one of the prime source of Glutathione, which has been shown to protect cells against free radical damage and to detoxify foreign substances such as pollutants. Without glutathione, other antioxidants would not be able not function efficiently. Avocados are also a good source of vitamin E, particularly for people whose asthma is linked to a nut allergy (nuts are one of the most common sources of vitamin E). However, if you have been diagnosed with a latex allergy, you may want to be careful with avocados, particularly non-organically grown produce. Many suggests that people who are allergic to latex are often also allergic to avocados and other foods that may contain substances called chitinases. Organically grown avocados not treated with ethylene gas contain lower levels of chitinases.

2. BROCCOLI SPROUTS
- are true nutritional treasure and a great addition to yourdiet if you suffer from asthma. A recent study found that the study participantswho ate broccoli sprouts for 3 days had an increase in antioxidant compounds that control the airway inflammation associated with bronchial asthma. The effect was most pronounced in those who ate the most broccoli sprouts. Available at many health food stores and grocery stores, broccoli sprouts makea great addition to salads, soups, salsa-topped dishes, and sandwiches.

3. APPLES - Studies show that apples possess some extraordinary properties that may provide protection against asthma. One study discovered that pregnant women who ate apples protected their child from developing asthma. Another study found that by drinking apple juice daily children could reduce their chance of suffering from wheezing by 50%. These beneficial effects of apples may be linked to their high concentration of bioflavonoids, such as quercetin. Quercetin is known to possess strong anti-histamine, antioxidant, and anti-inflammato ry properties. When buying apples, be sure topurchase organically grown fruit: together with peaches, conventionally grownapples top the list of fruits that contain the highest levels of pesticides and other harmful chemicals.

4. BANANAS
- Including bananas in your diet may help you breathe easier. According to a British study, children who ate just one banana a day had a 34% lower chance of developing asthmatic symptoms such as wheezing. The resultswhere not surprising considering that bananas are one of the best sources of pyridoxine, commonly known as vitamin B6. Pyridoxine plays a critical role in the production of adenosine triphosphate (ATP) and cyclic adenosine monophosphate (cAMP), molecules that have been shown to help relax bronchial smooth muscle tissue.

5. GINGER - one of the oldest spices in the world, is well known for its cold treating powers, but it may also help alleviate asthma symptoms. Its asthma fighting properties are thought to be attributable to gingerols, strong anti-inflammato ry substances that also give ginger its distinctive flavor. Fresh ginger, which is said to be the most effective form of ginger, is available year round in the produce section of your local supermarket.

6. SPINACH - Popeye was right about one thing: you'd better eat your spinach! The nutritional profile of spinach makes it an excellent health food and an important functional food to be included in any anti-asthma diet. One study with 68,535 female participants found that women with a high intake of spinach had a lower prevalence of asthma. This is not surprising considering that spinach features a host of important asthma preventing nutrients, including beta-carotene (spinach is one of the best sources of beta-carotene there is), vitamin C, vitamin E, and magnesium. It also has a substantial potassium content in proportion to its calorie content: a 100 calorie serving provides about 40% of the reference daily intake for this important anti-asthma mineral.

7. ROSEMARY - It contains rosmarinic acid, that may help alleviate asthma symptoms due to its strong antioxidant and anti-inflammato ry properties. The antioxidant power of rosmarinic acid is believed to be even stronger than that of vitamin E. In addition, rosmarinic acid encourages cells to create prostacyclins, which help keep the air passages of the lungs open and thus promote easy breathing. Rosemary can be used to flavor fish, roast meats, and tomato sauces, but also fruits, especially oranges.

8. SUNFLOWER SEEDS
- are brimming of anti-asthma nutrients, as these mild nutty tasting seeds are loaded with vitamin E, potassium, and magnesium. They are also a good source of selenium, with 1 cup providing more than 1/3 of the recommended daily intake for this important mineral. Furthermore, sunflower seeds are among the seeds and nuts that are least likely to cause allergic reactions in people. But, be careful while consuming them, as they are quite calorie-dense.

9. SWEET POTATOES - are one of the oldest vegetables known to man and one ofthe most nutritious too. Sweet potatoes are one of the foods that are least likely to cause allergic reactions, which is great news since asthma is often linked to allergies. What's more, sweet potatoes contain plenty of vitamin C and potassium as well as unique root proteins which, according to preliminary studies, may have significant antioxidant properties. The pink, orange, and yellow varieties are also one of the most concentrated food sources of beta-carotene (the more intense the color, the more beta-carotene).

10. KALE - This relatively unknown member of the cabbage family is a nutritional powerhouse packed with vitamins and other phytochemicals that have been shown to alleviate symptoms associated with asthma. Not only is kale a great source of vitamin C, it is also one of the most concentrated dietary sources of beta-carotene (kale contains 10 times the beta-carotene of broccoli). Kale can be eaten raw, for example as a substitute for iceberg lettucein salads. The beautiful green leaves of kale can also be transformed into a savory warm dish by sautéing the leaves and mixing them with chopped onions, crushed garlic and a drizzle of extra virgin olive oil.

11. TURMERIC
- a spice that lends its yellow color to curries and many other foods, has long been used in traditional Asian medicine to treat asthma and many other conditions and diseases. In recent years, western medicine has started to pay greater attention to this extraordinary spice. Recent research suggests that turmeric possesses strong anti-inflammato ry properties. Although best known for its use in Indian style curries, turmeric can also be used to add flavor and color to fish, seafood, meat, rice, vegetable, and pasta dishes.


12. MUSTARD GREENS
- Chock-full of antioxidants and nutrients, mustard greens can make an excellent addition to your diet if you are susceptible to asthma attacks. In addition to being one of the best sources of beta-carotene, they provide a good amount of vitamin C and vitamin E. The nutrients in mustard greens can remove free radicals that cause smooth muscle contraction and airway constriction in people with asthma. Moreover, they may aid in the breakdown of histamine. Mustard greens with their distinctly peppery flavor are available throughout the year and can be found in the produce section of your local supermarket.

Like said before, no food can actually "cure" asthma; but only provide relief for asthma symptoms, in a long run of consumption. So, if you are asthmatic, or prone to frequent attacks, don't forget these nutrient-rich foods that may help alleviate your asthma symptoms.
 
Jamani naombeni msaada, ni muda mrefu sana nasumbuliwa na mafua bila kupona. Tafadhali wenye kufahamu tiba ya hayo magonjwa naomba wanisaidie
 
pole sana hyina, hata mimi nilikuwa nasumbuliwa sana na mafua lakini mitishamba imenisaidia sana kwa sasa nipo poa, ila cha muhimu kwako ni kukaa mbali na vitu au vumbi litakalo kusababishia uzio(allergy)
 
Umri wako ni miaka mingapi? Pumu inabidi ufanye yafuatayo

1. Dawa za kienyeji za kutapicha zitakusaidia
2. Tumia asali ya asili na maji ya moto kila siku. Itakusaidia mwili wako kuweka kukabiliana na hizo harufu tofauti
3. Usitumie mablanketi ya sufi kwenye kulala tafuta blanket au bed cover ambazo hazina nyusi. Vilevile hakikisha godoro lako lime kuwa cover
4. Tumia maji ya moto kwenye koaga au kunawa asubuhi.

Mimi nilikuwa na pumu nikapona. Nilitapishwa maeneo ya Korogwe vilevile moshi kuna watu wanajua dawa za kutapisha. Huko kasikazini ni kuzuri maana wenyewe kule wana vumbi hivyo wana wagonjwa wengi wa pumu
 
pole sana hyina, hata mimi nilikuwa nasumbuliwa sana na mafua lakini mitishamba imenisaidia sana kwa sasa nipo poa, ila cha muhimu kwako ni kukaa mbali na vitu au vumbi litakalo kusababishia uzio(allergy)

mitishamba gani hiyo niambie na mie jamani.
 
Umri wako ni miaka mingapi? Pumu inabidi ufanye yafuatayo

1. Dawa za kienyeji za kutapicha zitakusaidia
2. Tumia asali ya asili na maji ya moto kila siku. Itakusaidia mwili wako kuweka kukabiliana na hizo harufu tofauti
3. Usitumie mablanketi ya sufi kwenye kulala tafuta blanket au bed cover ambazo hazina nyusi. Vilevile hakikisha godoro lako lime kuwa cover
4. Tumia maji ya moto kwenye koaga au kunawa asubuhi.

Mimi nilikuwa na pumu nikapona. Nilitapishwa maeneo ya Korogwe vilevile moshi kuna watu wanajua dawa za kutapisha. Huko kasikazini ni kuzuri maana wenyewe kule wana vumbi hivyo wana wagonjwa wengi wa pumu

umri wangu ni above 30, korogwe maeneo gani maana nipo tanga naweza nikaenda. Asali huku tanga mh!! Zipo ila sidhani kama zitakuwa za asili. Nitajaribu kutafuta.
 
UGONJWA WA PUMU (ASTHMA):

Kila Tiba kati ya zifuatazo ni yenye kujitegemea.Chagua iliyo rahisi kwako.Isipokufaa ndipo uchague nyengine
TIBA 1:
Tafuta ujazo wa sawa kwa sawa wa Arkisusi,Habbat saudai,Sufa,Tangawizi,Zaatari,Zamda,Darufifil,Karafuu.
Twanga madawa hayo kwa pamoja mpaka upate unga wake.Chukua kijiko kimoja cha chai (5ml) cha mchanganyiko huu,changanya na kijiko kimoja cha chakula (10ml) cha asali.
Kunywa dawa hii kutwa mara tatu (1×3) kwa siku (7-11).

TIBA 2:

Changanya kijiko kimoja (5ml) cha mafuta ya Haba Soda na vijiko viwili vya ujazo wa 5ml vya asali.Weka kwenye kikombe cha kahawa (50ml),changanya na maji ya uvugu vugu.Kunywa kiasi hiki kutwa mara tatu (1×3).
Kisha jipake mafuta ya Haba soda kwenye koo,kifua na mgongo.Pia chukua kijiko kimoja (5ml) cha Haba soda uweke ndani ya kikombe au kibakuli chenye maji moto.Uwe unavuta mvuke wake puani asubuhi na jioni. tumia kisha unipe Feedback
 
Wadau habari ya jumapili?

Mimi nina tatizo la athma kwa muda wa zaidi ya miaka miwili sasa. Nimeonana na madaktari mbalimbali wa hospitali zetu na kupewa dawa mbalimbali. Baada ya kutumia dawa hizo tatizo huisha lakini baada ya muda kama mwezi hivi tatizo hurudi tena. Nikitumia dawa tatizo linaisha vizuri tu lakini baada ya muda linarudi tena. Wasiwasi wangu ni kwamba hizi dawa ninazotumia zisije kujenga usugu mwilini na kufanya tatizo liwe kubwa zaidi na zaidi.

Kuna mtu alinishauri nijaribu tiba ya asili hivyo nimeona nilete hii hoja hapa JF Doctor ili nipate msaada wa taarifa kuhusu ugonjwa huu. Tafadhali sana ndugu zangu ninaomba msaada kwa yeyote mwenye taarifa sahihi kuhusu tiba ya ugonjwa huu anisaidie kunihabarisha ili niondokane nao kwani sina raha kabisa.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Mwanawani asthma ni ugonjwa mgumu kweli. Kwa kifupi ni allergy. Tiba asilia ni effective ukiwa mdogo. Asthma ya ukubwani bwana ishu. Ni nakhshauri pia uchunguze vitu gani vinaweza kusababisha ubanwe kifua. Kuna ndugu yangu mmoja ana hilo tatizo. Ni zaidi ya miaka 10 sasa. Anapona baada ya muda inarudi.

Ana allergy na perfumes, jiko la mkaa linapokuwa linawashwa ile harufu, jiko la mchina ndo uziseme, sabuni,lotion zenye harufu kali. So pia check una allergy na nini ili uepuke hicho kitu. So far dawa asili hazijamsaidia. All the time anatembea na inhaler halafu pia ana mashine home. Kikibana sana inhaler ili fail anaweka dawa fulani aina 2 anazichanganya ni za maji anaweka mask kuzunguka pua anachomeka kwenye umeme iyo mashine dawa inakuwa inamuingia thru mvuke.

Hivyo vyote vikidunda tunakimbiza hosp haraka. Naweza kusema pumu yake ni kali kwa kweli ila ameshakubaliana na maisha yanaenda. Yako inaweza kuwa ni mild asthma. kwani kwa mwezi unabanwa mara ngapi? Sikukatishi tamaa but endelea kutafuta tiba hiyo asilia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom