22nd
JF-Expert Member
- Aug 1, 2010
- 495
- 137
Thanx mdau na wote mliochangia.
Unajua mitaani kuna mengi, eti wanadai kunadawa ya kutapisha na athma inakwisha kabisa
dont do that, uswahilini wanahisi pumu inatokana na kulishwa kitu,au wadhani kuna kitu kimekwama kwahiyo ukitapishwa inaisha.
kama nilivyokwambia,niliumwa pumu,na nilipewa kila dawa,hiyo ya kutapisha ilikuwa moja wapo,sijawahi ku experiance ladha mbaya kama ile,lazima utapike,ila haisaidii kabisa,ni mateso tu,jaribu kila ushauri unaopewa lakini sio kutapisha.
au kama sehemu uliyopo kuna joto,jaribu kumpeleka sehemu yenye baridi kama lushoto,mbeya,sio arusha kwasababu kuna vumbi sana.
maana hata mimi nilikuwa masaa 24 natumia feni,umeme ukikatika tu,nabanwa na pumu,kwahiyo inabidi mama anitoe nje usiku wa manane mpaka nipate nafuu na nipitiwe tena na usingizi.
asikwambie mtu,pumu inatesa,nikimuona mtoto amebanwa yaani lazima nilie,maana najua jinsi anavyoteseka.