achengula
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 369
- 62
UMM ni ugonjwa wenye maambukizi makubwa unaowapata ngombe, nguruwe, kondoo, mbuzi na nyati na ni ugonjwa mgumu sana kukabiliana nao. Kwa ujumla ni ugonjwa unawapata wanyama wote wenye kwato mbili wa kufugwa na wanyama pori. Dalili kubwa za ugonjwa huu ni homa, malengelenge (vesicles) mdomoni na puani, chuchu, kwato/nyayo, na vifo kwa wanyama wadogo.
Madhara Ugonjwa huu unasababisha upotevu mkubwa wa kiuchumi kwa sababu ya vifo vya wanyama wadogo, kupungua kwa uzalishaji (maziwa, nguvu kazi, na kuzaliana) na kuzuiwa kwa biashara ya nyama na mazao ya mifugo ndani na nje ya nchi husika.
Kwa maelezo zaidi juu ya ugonjwa huuu na magonjwa mengine soma hapa SEKTA YA MIFUGO TANZANIA
Madhara Ugonjwa huu unasababisha upotevu mkubwa wa kiuchumi kwa sababu ya vifo vya wanyama wadogo, kupungua kwa uzalishaji (maziwa, nguvu kazi, na kuzaliana) na kuzuiwa kwa biashara ya nyama na mazao ya mifugo ndani na nje ya nchi husika.
Kwa maelezo zaidi juu ya ugonjwa huuu na magonjwa mengine soma hapa SEKTA YA MIFUGO TANZANIA