Hassan J. Mosoka
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 682
- 323
Pale Kalimjee ndugu zetu wa Dini ile wamesema wamechoka kunyanyaswa na wanataka mgawanyo wa madaraka nusu kwa nusu, bila kufafanua hii nusu kwa nusu ni Pamoja na Wapagani, Wahindu, Rastars, Wabudha na dini zingine kibao zilizopo Bongo.
La pili nadhani wamesahau nusu kwa nusu haitaishia kwa dini bali pia makabila yetu yapate nusu kwa nusu madaraka! hahahahahahaha mawazo ya kijinga.
Tanzania ya leo waislamu wameshika ofisi nyeti zote hebu angalia;
Rais, Makamu wa Rais, Jaji Mkuu, IGP, Rais wa Zanzibar na Makamu wote wawili, Hazina, Ulinzi, Usalama wa ndani,na hata ngazi za juu chama cha kijani.!!!!!!
Kama hawajaona hili hata uwape Kila kazi bado watalalamika kuwa wanaonewa na Wakristo. Jamani you guys be serious and build up your confidence.
La pili nadhani wamesahau nusu kwa nusu haitaishia kwa dini bali pia makabila yetu yapate nusu kwa nusu madaraka! hahahahahahaha mawazo ya kijinga.
Tanzania ya leo waislamu wameshika ofisi nyeti zote hebu angalia;
Rais, Makamu wa Rais, Jaji Mkuu, IGP, Rais wa Zanzibar na Makamu wote wawili, Hazina, Ulinzi, Usalama wa ndani,na hata ngazi za juu chama cha kijani.!!!!!!
Kama hawajaona hili hata uwape Kila kazi bado watalalamika kuwa wanaonewa na Wakristo. Jamani you guys be serious and build up your confidence.