Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Kama ni Maradhi ya Presha ya kupanda High Blood Pressure mwambie mama yako aweni ya kupanda
anatumia kila siku asubuhi kabla ya kula au kunywa kitu ale punje mbili za kitunguu Saumu avitafune na kumeza na maji na akae kama
saa moja ndio anaweza kula mlo wa asaubuhi. Na mchana afanye hivyo hivyo na usiku hivyo kwa muda wa siku 3 kisha mwambie aende
kupima atakuta hiyo Presha ya kupanda itashuka tu inshallah. Atumie kisha uje hapa unipe Feedback.