mtoto wa maskini
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 1,152
- 636
Habari zenu wadau, huduma ya kwanza kwa mtu mwenye Ugonjwa wa Kifafa ni nini? pia Ugonjwa wa Kifafa unaambukizwa kwa njia zipi?
Pole sana!ni malaria makali hayo,mimi yalinitokea mwanangu alianza geuza macho ghafla wakat nacheza naye usku so naelewa what you went through
Asante Mkuu Lakini tumepima malaria hana kapewa dozi ya kunywa na Sindano ambazo ni anti-malaria.
Asante Mkuu Lakini tumepima malaria hana kapewa dozi ya kunywa na Sindano ambazo ni anti-malaria.
Nahisi atakuwa wakiume,
pole sana mpendwa kweli hiyo hali ni ngumu sana .degedege hutokana na homa kali ikipanda kuzidi 40 huwa ubongo unapata short. na hapo ndipo degedege hutokea.
Je alipoteza fahamu kwa muda wa dk ngapi?
mwanao ana umri gani?
je umepewa dawa gani?
je uko mkoa gani?
nipe majibu ya haya maswali ndipo nitakushauri la kufanya
Ni vizuri pia kuangalia kichwa chake huenda alipata tatizo la kuanguka akiwa mdogo na hizo ni athari zake. Apimwe vizuri
Dah pole sana. Mimi wangu bado mdogo kabisa ni kujipanga likitokea tatizo kama hilo.