Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

Mi nafikiri kama unajua tiba ni kutoa msahada sidhani kujua dawa zote alizotumia litakuwa thuruhisho maana ametumia nyingi mno zikiwepo za kienyeji ata hazijulikani jina. kama kujua dawa alizotumia ndo itakuwa mwazo wa kumsaidia basi nitamtafuta ili anitajie dawa alozotumia lakini za kienyeji mmmmh cjui kama atazifahamu.
 
Asa nikikutajia jina la dawa na maybe alishawah kutumia hiyo dawa na haikumsaidia ntakua nimekusaidia kitu gani?
 
Kama sio la Kisiasa. Hospitali za Rufaa zina hiyo Dawa ya 'Epleptic fit'. Uingereza na Ulaya ndo wazuri. ila utatumia maishani. Its a life time problem akubali hilo. Angalia msioane ndugu wa karibukaribu, unurithishwa. . Mpe Pole
 
Heshima yako mkuu!

Homa ya degedege inaweza kusababisha matatizo ya kuona pamoja na kusikia? Nauliza hivyo kwa sababu kuna mtoto wa ndugu yangu alipatwa na degedege lakini baadaye amekuwa na hayo matatizo, umri wake ni miaka miwili na hiyo hali amekuwa nayo kwa muda wa miezi miwili sasa. Nini inaweza kuwa chanzo hasa cha kutoona wala kusikia? Na tiba yake ni ipi na je kama atapatiwa tiba upo uwezekano wa kurudisha uwezo wake wa kuona pamoja na kusikia?

Jamani madaktari wa hapa JF njoni msaidie, MziziMkavu, Riwa na wengine wote wenye ufahamu wa tatizo hili mtoe nasaha zenu.
 
Mh. Mzizi mkavu

Kwanza nakupongeza kwa kazi kubwa unayoifanya kwani kupitia hapo nimepata elimu kubwa juu ya ugonjwa huu wa kifafa kiukweli nimejikuta naumia sana manake nafanya kazi naendesha chombo cha moto na hii hali mara nyigi hunitokea usiku kuanzia saa sita na kuendelea na pia inategemea kama nikichelewa kulala au kipindi kile nakunywa pombe nilikua nikiamka asubuhi najikuta nimeutafuna ulimi vibaya sana na mwili wote huuma ila tokeaa nimeanza dawa nipo poa kuna siku niliacha dawa kama miezi miwili ikarudia tena na sasa nimerudia dawa sijaanguka tena je,inamaana hizi dawa natumia maisha yangu yote? manake natumia TEGRETOL 200mg kidonge kimoja kila siku usiku na ni miezi minne sasa.
 
Hata nami ilikuwa inanitokea ilianza ukubwani na chanzo ilikuwa ni celebral malaria ndio ikazaaa niaanza kutumua tegretol cr 200 kwa miaka 4 nimeziacha baada ya kupunguza dozi ili nimeanza kuona kushtuka kunaanza teena hasa pombe ina na mataa yanayowaka.
 
Jitahidi sana kujiepusha na vitu vyoote unavyojua vinaweza kukufanya uingie tena ktk hali hii ikiwepo matumizi ya pombe na vilevi vingine pia jitahd upumzike muda wa kutosha kwani elimu tuliyoipata hapo juu kwa mzizi mkavu inasaidia sana.
 
Matatizo yaweza tokezea wakati wa matibabu? Je kuna jambo ambalo linaweza kuenda mrama nikiwa bado kwenye matibabu?

Athari ya matibabu ni hisia ya kusinzia na kutokuwa mwepesi ambako hutoweka baada ya mda. Baadhi ya madawa yanaweza kumfanya mgonjwa aongeze uzito. Athari mbaya zaidi ambayo inaweza kutokea ni kwenye ini. Hili ni jambo la kawaida wakati mgonjwa anatumia madawa kadhaa ili adhibiti kifafa.

Unapoanza matibabu, athari yake kwa kifafa huwa siio ya papo kwa hapo. Inachukua angalau mwezi mmoja kuona athari yoyote ya kudumu na mtu anahitajiwa kuwa mvumilivu. Katika visa vichache, visa vya kuzirai vinaweza kuongezeka unapowekwa kwenye matibabu kabla kuzirai hakujapungua.

Ni kipi kipimo cha dawa za kutibu kifafa?

Kipimo cha dawa ni kile ambacho kitatibu kitadhibiti ama kitatibu hali hii bila ya kusababisha mathara mabaya ya kando. Hii hutofautiana kutoka kwa matibabu hadi matibabu na hali hadi hali. Dawa zingine kama Panadol zina kiwango chake rasmi; watu wazima humeza vidonge 2 kila masaa 6-8. Hali zingine kama malaria isiyo kali zina kiwango cha dawa kinachopeanwa katika kiwango cha kipimo cha dawa kama watu wazima humeza vidonge 2 vya Camoquine mara moja kwa siku 3.

Hesabu ya kiwango cha kipimo cha dawa hutegemea uzani wa mgonjwa ama umri wake. Kila aina ya dawa ina kipimo kwa uzani ama umri wa mgonjwa uliopeanwa.

Katika visa vingine vya kifafa, kiwango cha dawa hakiwezi kuhesabika kwa urahisi. Matibabu yanayotolewa ili kudhibiti kifafa huathiriwa kwa urahisi na vipimo vya dawa na hufanya kazi katika kadiri ndogo. Dawa kidogo kwenye damu ama dawa nyingi kwenye damu na udhibiti wa kifafa hupotezwa. Kwa hivyo kila dawa inaweza tu kutumiwa katika kadiri iliyotolewa ya kipimo cha dawa. Ikiwa kuzirai hakuwezi kudhibitiwa katika kadiri hii,dawa ya pili na saa zingine dawa ya tatu inaweza kuongezwa. Hii nyongeza ya madawa hujiathiri na kipimo cha kila dawa kinahitaji kuhesabiwa mara tena ili kila dawa ikuwe katika kiwango kinachofaa katika damu.

Kufanya mambo kuwa magumu zaidi, kutokea kwa kifafa hakuwezi kutabirika katika watu tofauti. Kuna wale ambao ugonjwa wao wa kifafa unaweza kudhibitiwa kwa urahisi ilhali wengine wanahitaji matibabu 2-3 ili kupunguza visa vya kuzirai bila ya kuvimaliza kabisa. Kwa wagonjwa 2 wenye umri sawa na uzani sawa, matibabu ya kipekee yanaweza kutolewa katika vipimo tofauti ili kudhibiti kuzirai kwao.


Ni kwa mda upi ambao mtu aliyeathiriwa na kifafa anapaswa kutumia dawa?
Mtu aliyeathiriwa na kifafa anapaswa kutumia madawa aliyopewa hadi ashauriwe vingine. Kwa kutegemea wingi wa kutokea kwa visa vya kifafa, wagonjwa wanaweza kutumia dawa kwa maisha yao yote.Katika watoto,hata hivyo mambo yanabadilika. Kitambo, ilichukuliwa ya kwamba mtoto mwenye kifafa angehitajika kutumia.

madawa kwa miaka mingi ya maisha yake. Lakini hali sio hivyo tena. Ikiwa mtoto anatumia madawa kwa njia inayofaa na kwa wakati bila ya kukosa hata kipimo.cha dawa na anabakia bila kifafa kwa angalau miaka 2, basi dakitari anaweza kufikiria kusimamisha utumizi wa madawa. Ni dakitari pekee yake anayeweza kutoa ushauri kuhusu kusimamaisha matumizi ya madawa ya kifafa baada ya kumfuatilia mgonjwa kwa

kipindi fulani cha mda. Ni muhimu maamuzi haya yafanywe na dakitari, kwa sababu mwanzo utumizi wa madawa umeanza haufai kukatizwa kwa ghafla. Badala yake dakitari atapunguza kipimo cha dawa pole pole hadi matumizi ya dawa umesitishwa. Ukisitisha dawa kwa ghafla, kuna madhara ya kando kama kumwa na tumbo, kutapika na kutomakinika na kuzirai kunaweza kujirudia.

Kwa hivyo, jambo muhimu ni kuzungumza na dakitari wako kuhusu kusimamisha matibabu. Ikiwa mtoto hajafuzu kwa ajili ya kusitishwa matibabu kwa sasa, na kisha aendele kutokana na ushauri wa dakitari. Ikiwa mtoto atafuzu, basi hili linafaa kufanywa kwa utaratibu. Wakati kipimo cha dawa kinapunguzwa, ni muhimu kukumbuka ya kwamba mtoto anaweza kushikwa na kifafa. Waweke wakiwa salama na waangalie kwa karibu hadi dawa zote zimesitishwa kabisa na kila kitu kiko salama.
Asante sana mkuu kwa elimu kubwa unayotoa! Naomba kujua, kuna maneno ambayo mara nyingi watu husema kukitokea mgonjwa wa namna hiyo! Je ni kweli kwamba mgonjwa akianguka wakati bado kazimia akikukojolea anakuwa amekuambukiza naww? Msaada tafadhali
 
Asante sana mkuu kwa elimu kubwa unayotoa! Naomba kujua, kuna maneno ambayo mara nyingi watu husema kukitokea mgonjwa wa namna hiyo! Je ni kweli kwamba mgonjwa akianguka wakati bado kazimia akikukojolea anakuwa amekuambukiza naww? Msaada tafadhali
Mkuu Mgaya.com Hawezi kukuambukiza mtu mwenye ugonjwa wa kifafa kwa njia ya mkojo imani za kiswahili hizo Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Treating epilepsy through herbal

Pomegranate+leaves+can+help+curing+epilepsy+as+per+indian+traditional+medicines+ayurveda.JPG
Epilepsy* is an ailment that can be cured but the patient and his/her family members need to take certain precautions.

As far as natural and herbal ways of treatment are concerned, here are a few remedies:

1. Give onion juice (around 3 ounce) daily mixed with small quantity of water in the morning. It has to be given regularly for at least 40 days.

2. If the patient is given slight 'heeng' (Asafoetida) along with lemon to chew, it will be helpful to the epileptic. The patient shouldn't immediately gobble it up, rather let it in the mouth and chew slowly.

3. Bake garlic (light broiling) for a while in oil and administer it to the person suffering from epilepsy on a regular basis.

4. Take 60 gms 'henna' (mehndi) juice along with 250 gm milk. It cures the condition as per ayurveda.

4. A wonderful remedy in Indian ayurvedic medicinal system is to boil pomegranate

leaves (100 grammes) in 500 gramme water. When just a quarter water remains,

filter it and add 60 gramme 'ghee' and an equal amount of sugar. Give it to patient

twice in day, in the morning and in the evening. Mostly it works.
 
Kama wewe unaamini uponyaji ndani ya Jina la Yesu mpeleke kwenye maombi. Maombi ni zaidi ya mitishamba! Kumbuka alipo Yesu yote yanawezekana!

Yesu anaponya sana lkn mitI shamba si uchawi..ni mimeo iliyooteshwa na Mungu..so kusali asali na dawa atumie
 
Kamwe usimwache mkeo kwa tatizo hilo Kuwa naye karibu na toa msaada unapohitajika...kuna klinik katika hospital kwa ajil ya matatizo hayo. Wataalam zaid watakwambia.
 
Kifafa kinatibika kwa ku.ywa dawa kila siku kama vile carbamezapine.epilim chrono.REvotril. Gabapentin nk itategemea doctor kamua utumie dawa ganj.Pia mgonjwa wa kifafa lazima aende clinic kila baada ya miezi mitatu kwa ushsuri
zaidi.
 
Dawa ya Maradhi ya Kifafa .

Asubuhi kabla ya kunywa chai,anywe Asali Safi ya nyuki kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja.Uendelee hivyo kwa wiki moja.

KIFAFA KUPOOZA.
Tiba kwa kiharusi matatizo ya awali.
- Mgonjwa anapaswa kukandwa kwa kutumia mafuta ya karafuu na mafuta ya zeituni kwenye uti wa mgongo na baadaye apakwe kichwani. Matibabu huendelea mpaka mtu apone.


Herbs for Epilepsy

Question: What vitamins or herbs do you recommend for Epilepsy? I've been on Dilantin for over 15 years and I still have occasional seizures.

Answer: There is not a great amount of information about this topic in herb books. I did find the same small group of herbs mentioned in several books. In some ways this is comforting. Black Cohosh, Lobelia, Valerian, Scullcap were some of these repeated in many references. I especially like the information in books obviously based in scientific fact. I have plenty of faith in anecdotal evidence especially when the information is from historical sources. I dont think past civilizations or generations would have bothered to pass on information about an herb if it wasnt actually effective as a remedy. For me though, when passing on information to someone else I am much more comfortable using mainly scientific sources. This puts you in a better position for example if you want to share this information with your doctor.

Valerian is currently one of the most popular orthodox antispasmodic medications in Russia and Germany according to Daniel Mowrey author of Herbal Tonic Therapies. It is its anticonvulsant action that has been useful in treating epilepsy. My experience with herbs has shown what is a treatment for a condition is quite often a preventative for the condition. I cannot give you advice because Im not a doctor but if it were me I would consider taking a small set of herbs or just one herb on a regular basis in hopes of preventing or lessening the severity of occasional seizures. Valerian looks good to me. Speaking of prevention, Valerian was used in the First World War to prevent shell shock in front-line troops. Valerian is a great herb to discuss here because it is classified as a tonic herb. It can regulate and balance opposite extremes. Recent research has shown it to be a sedative but more research has reported it can also stimulate in a way as to improve coordination, increase concentration and energy. This tonic nature of Valerian allows it to depress or stimulate where necessary depending on the current needs of the nervous system. Another way Valerian has been characterized by clinical studies is that it has neurotropic effects directly on higher centers of the central nervous system. One of the most remarkable aspects of Valerian is the almost total lack of toxicity, even with long term use.

Clinical studies have proven the antispasm action of Lobelia. Historically it has been used to treat epilepsy. While I may not know of any recent studies done on this herb for this condition, I would consider using it myself.

Chinese Ginseng, perhaps the most famous medicinal plant of China, is considered a tonic to whole body and has folk use for this condition.

Mistletoe has a historical use for epilepsy but no recent studies that I know of have focused on this condition. Hippocrates claimed it was highly effective remedy for the spleen and some modern European physicians believe treating the spleen may be beneficial in epilepsy. Sir John Colbatch, an English Physician in 1720 wrote a small publication titledThe Treatment of Epilepsy by Mistletoe. There has been confusion about the toxicity of this herb but paying attention to the correct botanical and current safety warnings, the herb can safely be used.

Motherwort was used to calm epileptics during the 17th century and now is used as a nerve tonic and sedative. Current evidence has confirmed its benefits as a cardiotonic and hot-water extracts also show sedative and anti-epileptic effects in animals.

Extracts of Mugwort have been injected into laboratory animals confirming its sedative effects so researchers conclude it is possible the herb could be beneficial for epilepsy. Mugwort has been used for this condition.

Sage is famous throughout history in many different cultures as a miracle herb. A constituent in a Chinese variety Salvia militiorrhiza may become the source of a new tranquilizing agent but without the side-effects of Valium. Valium and Librium are benzodiazepines which are widely prescribed since 1960 to treat epilepsy. Benzodiazepines act on the central B2 receptors in the central nervous system. The herb compound also interacts with the central B[SUB]2[/SUB] receptors.

Scullcap has always been known as a mild and safe nervine. Traditionally it has been used for delirium tremens, St. Vitus dance, convulsions, seizures, hysterical states, lockjaw, tremors and epilepsy.

Blue Vervain is worth mentioning here after reading old American herb doctors tales of their successes with stubborn cases of epilepsy. Blue Vervain is another wonderful herb nervine use by many cultures all over the world. It is an American Indian remedy for several diseases including nervous afflictions.

Black Cohosh is so highly recommended in numerous respected publications. Like many of the herbs I have already mentioned its considered a sedative and antispasmodic and has been extensively used for epilepsy. I know the wonderful effects this herb provides our customers for a variety of conditions. This one would be a definite choice of mine.

Herbs have a balancing effect on our systems allowing the use of these kind of relaxing herbs mentioned above, to be used during the day without excessive drowsiness. I am a professional musician as well as an herbalist and for more high pressure concerts I sometimes use Valerian extract before the performance to keep me relaxed and breathing deep. In a situation like this, there is no danger of me falling asleep on stage and the herb just takes the edge off my nervousness. However, I would not take this herb before driving long distances on a road trip for example. I would be concerned it would make me feel too drowsy sitting hour after hour behind the wheel of a car. When in a relaxed state, like before bedtime, Valerian can really help as a sleep aid.

Vitamins and foods have been clinically studied for their beneficial effects on epilepsy. Vitamins especially B[SUB]1[/SUB] and E have shown good results. Foods that are clinically classified as antiepileptic are: asparagus, carob, wheat, ben nut, white lupine, Chinese cabbage, soybean, chives, buffalo gourd, groundnut, butternut, almond, opium poppy, tomato, Italian stone pine, chaya, cowpea, blackbean, pignut hickory, white mustard.

I sure do hope you have success with natural remedies. It is always advisable to consult your doctor about a new herbal regimen.
 
Back
Top Bottom