Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
kama wiki mbili zilizopita huu ugonjwa ulinikaribisha afrika.
Nalog off
Nalog off
Wapendwa, hii nimenukuu kwenye gazeti la mwananchi 4/ feb 2014.
Hapatitis A: Hiki ni kirusi kinachopatikana katika kinyesi cha binadamu, na kirusi hiki huwaingia wale wanaopenda kunyonya na kulambana sehemu za HAJA KUBWA. Ni kwamba kwa ugonjwa huu mtu anaweza akaharibika macho hadi kupofuka.
Wadau nimeona ni vema tukaelimishana katika hili, kwani ni mtindo ulionea sana kwa sasa, hasa vijana na wadogo zetu na mchezo wanaosifiana mtaani na ni changamoto kwa wote.
toa maoni yako katika hili...
haya sasa wale wanyonya m-i-ku--du, speed gavana hiyo a. k. a gusa unate
Wapendwa, hii nimenukuu kwenye gazeti la mwananchi 4/ feb 2014.
Hapatitis A: Hiki ni kirusi kinachopatikana katika kinyesi cha binadamu, na kirusi hiki huwaingia wale wanaopenda kunyonya na kulambana sehemu za HAJA KUBWA. Ni kwamba kwa ugonjwa huu mtu anaweza akaharibika macho hadi kupofuka.
Wadau nimeona ni vema tukaelimishana katika hili, kwani ni mtindo ulionea sana kwa sasa, hasa vijana na wadogo zetu na mchezo wanaosifiana mtaani na ni changamoto kwa wote.
toa maoni yako katika hili...
Asante Mungu kwa huu ugonjwa na naomba dawa isipatikane! Itasaidia sana kukomesha vitendo viovu vilivyoshamiri duniani.
haya sasa wale wanyonya m-i-ku--du, speed gavana hiyo a. k. a gusa unate
Kuna chanjo ya Hepatitis kama ilivyo kwa chanjo nyingine za magonjwa yaletwayo na virus...
Kama hujapata hiyo chanjo fanya hima maana kuna zaidi ya Haptitis A, na mtu akipata ugonjwa huu ndio safari hauna mswalie mtume
kwahyo FYATU hatari ni pale ntakapopeleka ulimi kwenye tundu la 0714 tu? Afadhali.