Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
aisee , huu ugonjwa hata mate unapata?kama walikula mate chance ya kupona ni ndogo sana! Hepatitis b is 10 times infectious than HIV! Na inatokea through any body fluid, hata jasho. Labda huyo mgonjwa awe in chronic stage ambayo infectivity ndogo. Lakini pia kuna acute in chronic. Tusisahau pia kwamba kuna Mungu na maajabu mengine