Pasco,
Sikuwa na nia ya kuchangia hii thread lakini umenilazimisha kufanya hivyo.
Ndugu yangu punguza siasa kwenye taaluma za watu. Taarifa ya mwakyembe wote tumeisoma, hakuna mahali ametaja ugonjwa anaoumwa, zaidi ya kusema mzizi wa tatizo lake uko kwenye bone marrow, sasa wewe mwanasiasa- mwanahabari umezipata wapi hizo facts?
Unajaribu kuwaongoza madaktari kwenye fani yao ili iweje? Una upande katika huu ugonjwa wa Dr. Mwakyembe?
Ilitosha tu kuweka taarifa ya Dr. Mwakyembe na kuwaacha madaktari wenyewe waogelee. Lakini kwakuwa umei-jeopardise mwenyewe hoja yako uwe mvumilivu na sisi wanasiasa wenzako tunaopotoa maoni yetu dhidi ya hoja zako, wakati huo nikiwaomba madaktari wajielekeze kwenye taarifa ya Mwakyembe wanapojibu.
Ni vizuri ukaacha siasa ktk jukwaa la JF Doctors ili sote tunufaike kuliko kujaribu kuwapotosha madaktari, sijui kwa faida ya nani!?
Mkuu Jackbauer, thanks for a good try, zile ulizoweka ni zile za matokeo ya chemotherapy ndio maana wengi hushauriwa kunyoa nywele zote kabla hazijanyonyoka. Hii ya doctor ni skin disorder due to something kwenye bone marrow. Naendelea kuwasubiria madaktari wetu, walijiunga wengi wakati ule wa mgomo natumaini bado wapo!.
umezielewa lakini?ha ha ha ngoja tusubiri wataalamu.
Moja ya Tabia ya Polonium-210 ni kushambulia Bone Marrow. Hii sumu ilitumika kumuua Alexander Litvinenko, Former KGB Officer.
Mkuu Ng'wanza Madaso, maelezo kamili ni marefu na politics nyingi mule, hii ni thread ya kuujadili ugonjwa huo tuu na sio siasa za issue hii!
Huyo ndiye Pasco!shida ni kwamba kuna kitu anachotaka yeye,ukimweleza tofauti na anavyotaka yeye kuwaaminisha watu yeye ndo anakuwa doctor.
Mode, maadam mwenyewe ameshafanya ibada ya shukrani, hii inamaanisha kamuachia Mungu, but for records, je sisi jf nasi tuishie hapa?, au tuendelee kuhoji?.Wanabodi,
Kufuatia malumbano yanayoendelea kuhusu ugonjwa wa Dr. Mwakiyembe. Hatimaye leo Dr. Mwakyembe mwenyewe ameka wazi ugonjwa unaomsumbua ni
Uchunguzi wa Apollo haujakamilika kujua chanzo, two facts are definite
1. Anaumwa Ugonjwa wa Ngozi!.
2. Source ni something kwenye bone marrow!.
Kwa vike humu jukwaani tunao madaktari kibao wanaoweza kutusaidia ugonjwa huu ni ugonjwa gani, unasababishwa na nini na labda matibabu yeke ni nini?.
Angalizo, hili ni jukwaa la JF Doctor, nawaombeni sana this now is medical professional issue sio politics, hivyo kama na wewe ni mwenzangu na mimi, hujui lolote kuhusu ugonjwa huu, nakusihi sana jipitie tuu na kujinyamazia, na usichangie chochote ambacho hakihusiani na ugonjwa huu!.
Asante!
Pasco.
Pasco is a snitch, I hope MUBYAZI hajamuweka karibu naye sana kujua iDS za members wa JF otherwise majina yenu yote yatakuwa UWT na kwa Lowassa!!
Someone said it here sometime ago that Pasco is a SNITCH!!!! Yumo humu kwa kazi maalum na kuwepo kwake karibu na INVISIBLE is not good to JF's health!!
Wakuu Bulesi, Ndinani, vipi mpaka sasa bado unaamini hii snitching humu jf?
So it's the smartness of Mubyazi and the encryption.Mubyazi is smart, JF is encrypted so snitches or no snitches we are covered!!! Moreover MUBYAZI is a solid professional!!