Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,548
Wanabodi,
Kufuatia malumbano yanayoendelea kuhusu ugonjwa wa Dr. Mwakiyembe. Hatimaye leo Dr. Mwakyembe mwenyewe ameka wazi ugonjwa unaomsumbua ni
Uchunguzi wa Apollo haujakamilika kujua chanzo, two facts are definite
1. Anaumwa Ugonjwa wa Ngozi!.
2. Source ni something kwenye bone marrow!.
Kwa vike humu jukwaani tunao madaktari kibao wanaoweza kutusaidia ugonjwa huu ni ugonjwa gani, unasababishwa na nini na labda matibabu yeke ni nini?.
Angalizo, hili ni jukwaa la JF Doctor, nawaombeni sana this now is medical professional issue sio politics, hivyo kama na wewe ni mwenzangu na mimi, hujui lolote kuhusu ugonjwa huu, nakusihi sana jipitie tuu na kujinyamazia, na usichangie chochote ambacho hakihusiani na ugonjwa huu!.
Asante!
Pasco.
Kufuatia malumbano yanayoendelea kuhusu ugonjwa wa Dr. Mwakiyembe. Hatimaye leo Dr. Mwakyembe mwenyewe ameka wazi ugonjwa unaomsumbua ni
Dk. Harrison G. Mwakyembe (Mb), NW-UJ
Dar es Salaam
18/02/12TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Nimelazimika leo Jumamosi, tarehe 18 Februari, 2012 kutoa taarifa hii kwa vyombo vya habari kuwa naumwa tuu ugonjwa wa ngozi bila kufafanua ugonjwa huo wa ngozi umesababishwa na nini!
Napenda nisisitize mapema kabisa kuwa matibabu yangu na uchunguzi wa kina kuhusu kiini chake unaoendelea hospitali ya Apollo nchini India ambako picha iliyo kwenye taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrowkinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa
Mungu Ibariki Tanzania.
Uchunguzi wa Apollo haujakamilika kujua chanzo, two facts are definite
1. Anaumwa Ugonjwa wa Ngozi!.
2. Source ni something kwenye bone marrow!.
Kwa vike humu jukwaani tunao madaktari kibao wanaoweza kutusaidia ugonjwa huu ni ugonjwa gani, unasababishwa na nini na labda matibabu yeke ni nini?.
Angalizo, hili ni jukwaa la JF Doctor, nawaombeni sana this now is medical professional issue sio politics, hivyo kama na wewe ni mwenzangu na mimi, hujui lolote kuhusu ugonjwa huu, nakusihi sana jipitie tuu na kujinyamazia, na usichangie chochote ambacho hakihusiani na ugonjwa huu!.
Asante!
Pasco.