environmental
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,054
- 137
Kweli nimekubali Mheshimiwa Leticia Nyerere ni Kiboko ,ni mwiba kwa ccm.Kwani mpaka sasa wanamwandika kwenye magazeti huko bongo bila hata kujua ukweli .Narudia tena.Tatizo la ccm ni kwamba hakuna wasomi makini ,wao wamesomea ulaya mashariki[propaganda]sasa Chadema washington DC inakupeni scholarship bure mje kusoma elimu kwa ajili ya maendeleo na sio propaganda.Peopleoooooooooooooooooo, powerrrrrrrrrrrrrrr.