Ugonjwa wa Appendix. Dalili zake ni zipi?

Mokoyo

JF-Expert Member
Mar 2, 2010
15,145
5,553
Wandugu naomba kufahamu dalili za ugonjwa wa appendex. Pia naomba kufahamu matibabu yake. Vilevile nikifahamu visababishi vya ugonjwa huu itakuwa bora zaidi

Nawasilisha

======================

Appendicitis ni maradhi ya Kidole utumbo (appendix) ambayo hutokana na kuathirika aidha kwa kuchubuka au kushambuliwa na vijidudu kutokana na kukorofishika kwa utendaji kazi wake wa kushafirisha mucous kwenda kwenye sehemu ya utumbo mkubwa kutokana na sababu mbali mbali kama ifuatavyo:

Sababu:
kukwama kwa kinyesi, kujikunja kwa kidole utumbo, kuvamiwa na vijidudu vinavyoishi ndani ya utumbo hususan mkubwa ambao huwa unasafirisha kinyesi, saratani ya uchango, kilema cha kidole utumbo, hata vyakula hususan vyenye uwanga mwingi vikiingia hushindwa kutoka na hukwama ndani ya kidole tumbo.

Dalili:
Dalili kuu ni maumivu ya tumbo kwenye kichembe au kwenye kitovu (mara nyingi), ambapo humea kwa nguvu kila mda ukienda na kuhamia upande wa kulia baina ya mfupa wa gungu na kitovu (Mc Burneys point) na maumivu huwa makali sana ambayo sasa huambatana na kichefuchefu na kutapika tumbo kuwa gumu ukimgusa mgonjwa anaruka na kushindwa kutembea kwa maumivu makali na homa .

Utibabu (Hutafautiana kidogo baina ya chronic na acute lakini cha msingi ni) :
1. Dawa za kuua vidudu (antibiotics) sikutaji zipi
2. Dawa za kupunguza maumivu (analgesics)
3. Upasuaji (APPENDICECTOMY)

Madhara: Kama ukichelewa kutibiwa appendix inaweza kukosa damu kutokana na kubanwa, kuoza (gangrene) kupasuka, na kueneza uchafu ndani ya tumbo (peritonitis ) ambayo hatari sana.

Ushauri: kama unadalili za ugonjwa huu ni bora kumuona Daktari mapema kwani kwenye jamii takriban ya 70% huugua ugonjwa huu ambao ukiwahi kutibiwa mapema hauna tatizo kubwa kama ukichelewa.

Karibu tena.
 
Wandugu naomba kufahamu dalili za ugonjwa wa appendex. Pia naomba kufahamu matibabu yake. Vilevile nikifahamu visababishi vya ugonjwa huu itakuwa bora zaidi

Nawasilisha

Hahaaa naona sasa unataka kuwa daktari wa "appendicitis" sio appendex

Ningeomba nikujibu kwa mtiririko ulio mwepesi zaidi

Appendicitis ni maradhi ya Kidole utumbo (appendix) ambayo hutokana na kuathirika aidha kwa kuchubuka au kushambuliwa na vijidudu kutokana na kukorofishika kwa utendaji kazi wake wa kushafirisha mucous kwenda kwenye sehemu ya utumbo mkubwa kutokana na sababu mbali mbali kama ifuatavyo:

Sababu:
kukwama kwa kinyesi, kujikunja kwa kidole utumbo, kuvamiwa na vijidudu vinavyoishi ndani ya utumbo hususan mkubwa ambao huwa unasafirisha kinyesi, saratani ya uchango, kilema cha kidole utumbo, hata vyakula hususan vyenye uwanga mwingi vikiingia hushindwa kutoka na hukwama ndani ya kidole tumbo.

Dalili:
Dalili kuu ni maumivu ya tumbo kwenye kichembe au kwenye kitovu (mara nyingi), ambapo humea kwa nguvu kila mda ukienda na kuhamia upande wa kulia baina ya mfupa wa gungu na kitovu (Mc Burneys point) na maumivu huwa makali sana ambayo sasa huambatana na kichefuchefu na kutapika tumbo kuwa gumu ukimgusa mgonjwa anaruka na kushindwa kutembea kwa maumivu makali na homa .

Utibabu (Hutafautiana kidogo baina ya chronic na acute lakini cha msingi ni) :
1.
Dawa za kuua vidudu (antibiotics) sikutaji zipi
2. Dawa za kupunguza maumivu (analgesics)
3. Upasuaji (APPENDICECTOMY)

Madhara: Kama ukichelewa kutibiwa appendix inaweza kukosa damu kutokana na kubanwa, kuoza (gangrene) kupasuka, na kueneza uchafu ndani ya tumbo (peritonitis ) ambayo hatari sana.

Ushauri: kama unadalili za ugonjwa huu ni bora kumuona Daktari mapema kwani kwenye jamii takriban ya 70% huugua ugonjwa huu ambao ukiwahi kutibiwa mapema hauna tatizo kubwa kama ukichelewa.

Karibu tena.
 
Hahaaa naona sasa unataka kuwa daktari wa "appendicitis" sio appendex

Ningeomba nikujibu kwa mtiririko ulio mwepesi zaidi

Appendicitis ni maradhi ya Kidole utumbo (appendix) ambayo hutokana na kuathirika aidha kwa kuchubuka au kushambuliwa na vijidudu kutokana na kukorofishika kwa utendaji kazi wake wa kushafirisha mucous kwenda kwenye sehemu ya utumbo mkubwa kutokana na sababu mbali mbali kama ifuatavyo:

Sababu:
kukwama kwa kinyesi, kujikunja kwa kidole utumbo, kuvamiwa na vijidudu vinavyoishi ndani ya utumbo hususan mkubwa ambao huwa unasafirisha kinyesi, saratani ya uchango, kilema cha kidole utumbo, hata vyakula hususan vyenye uwanga mwingi vikiingia hushindwa kutoka na hukwama ndani ya kidole tumbo.

Dalili:
Dalili kuu ni maumivu ya tumbo kwenye kichembe au kwenye kitovu (mara nyingi), ambapo humea kwa nguvu kila mda ukienda na kuhamia upande wa kulia baina ya mfupa wa gungu na kitovu (Mc Burneys point) na maumivu huwa makali sana ambayo sasa huambatana na kichefuchefu na kutapika tumbo kuwa gumu ukimgusa mgonjwa anaruka na kushindwa kutembea kwa maumivu makali na homa .

Utibabu (Hutafautiana kidogo baina ya chronic na acute lakini cha msingi ni) :
1.
Dawa za kuua vidudu (antibiotics) sikutaji zipi
2. Dawa za kupunguza maumivu (analgesics)
3. Upasuaji (APPENDICECTOMY)

Madhara: Kama ukichelewa kutibiwa appendix inaweza kukosa damu kutokana na kubanwa, kuoza (gangrene) kupasuka, na kueneza uchafu ndani ya tumbo (peritonitis ) ambayo hatari sana.

Ushauri: kama unadalili za ugonjwa huu ni bora kumuona Daktari mapema kwani kwenye jamii takriban ya 70% huugua ugonjwa huu ambao ukiwahi kutibiwa mapema hauna tatizo kubwa kama ukichelewa.

Karibu tena.

mkuu shukran kwa kunielimisha.
 
Mkuu nashukuru sana kwa maelezo haya ya kujitosheleza. May God bless you. Amen

Hahaaa naona sasa unataka kuwa daktari wa "appendicitis" sio appendex

Ningeomba nikujibu kwa mtiririko ulio mwepesi zaidi

Appendicitis ni maradhi ya Kidole utumbo (appendix) ambayo hutokana na kuathirika aidha kwa kuchubuka au kushambuliwa na vijidudu kutokana na kukorofishika kwa utendaji kazi wake wa kushafirisha mucous kwenda kwenye sehemu ya utumbo mkubwa kutokana na sababu mbali mbali kama ifuatavyo:

Sababu:
kukwama kwa kinyesi, kujikunja kwa kidole utumbo, kuvamiwa na vijidudu vinavyoishi ndani ya utumbo hususan mkubwa ambao huwa unasafirisha kinyesi, saratani ya uchango, kilema cha kidole utumbo, hata vyakula hususan vyenye uwanga mwingi vikiingia hushindwa kutoka na hukwama ndani ya kidole tumbo.

Dalili:
Dalili kuu ni maumivu ya tumbo kwenye kichembe au kwenye kitovu (mara nyingi), ambapo humea kwa nguvu kila mda ukienda na kuhamia upande wa kulia baina ya mfupa wa gungu na kitovu (Mc Burneys point) na maumivu huwa makali sana ambayo sasa huambatana na kichefuchefu na kutapika tumbo kuwa gumu ukimgusa mgonjwa anaruka na kushindwa kutembea kwa maumivu makali na homa .

Utibabu (Hutafautiana kidogo baina ya chronic na acute lakini cha msingi ni) :
1.
Dawa za kuua vidudu (antibiotics) sikutaji zipi
2. Dawa za kupunguza maumivu (analgesics)
3. Upasuaji (APPENDICECTOMY)

Madhara: Kama ukichelewa kutibiwa appendix inaweza kukosa damu kutokana na kubanwa, kuoza (gangrene) kupasuka, na kueneza uchafu ndani ya tumbo (peritonitis ) ambayo hatari sana.

Ushauri: kama unadalili za ugonjwa huu ni bora kumuona Daktari mapema kwani kwenye jamii takriban ya 70% huugua ugonjwa huu ambao ukiwahi kutibiwa mapema hauna tatizo kubwa kama ukichelewa.

Karibu tena.
 
Ugonjwa ulinifanya vibaya Sana Huu.

Ni ugonjwa WA KITHENGE mno.

Nilikuona Cha Moto.

DALILI zake zinafanana sana na vidonda vya tumbo.

Ukiwahi Kuna matibabuukichelewa ni Operation tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom