PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Habari zinazinifikia sasa hivi zinasema kuwa wamasai na waarusha wanapigana kugombea eneo huko Oldonyasambo, ambapo ndani ya eneo hilo kuna shule wanafunzi wameshindwa kutoka kutokana na mapigano hayo.
Habari zinaendelea kusema kuwa shule hiyo ndiyo chanzo cha ugomvi huo baada ya kila upande kusema ndiyo wamiliki.
Polisi na FFU wameshindwa kuwaamulia, mapigano bado yanaendelea mpaka sasa.
Habari zinaendelea kusema kuwa shule hiyo ndiyo chanzo cha ugomvi huo baada ya kila upande kusema ndiyo wamiliki.
Polisi na FFU wameshindwa kuwaamulia, mapigano bado yanaendelea mpaka sasa.