3D.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2010
- 1,018
- 282
kweli kaka ila tatizo ni pale kaugomvi kadogo tu kanapotokea basi kwangu ni kitu kingine kabisa,labda kuna tofauti ya ugomvi kutoka nyumba moja hadi nyingine,kwetu ilikuwa tofauti kidogo unaposhuhudia mtu anapigwa kipigo cha paka mwizi kisa amezima taa kabla mume hajarudi,au amezidisha kunywa vidonge toauti na maagizo ya dr naomba unielewe kidogo hapo
Kama ukipata mvulana mwelewa na pia akajua kuwa una hofu ya namna hiyo naamini anaweza akakusaidia kusahau hali hiyo, amini usiamini.