Ugomvi wa lowassa,rostam na lukuvi vs lowassa

maarufu

Member
Nov 28, 2010
63
1
Jamani nimesikia kukosa kwa prof msolla kuwa waziri wkt alistahili kumetokana na mabwana wakubwa wawili wa nchi hii yaani rostam , na el kisa:

Lowassa: Kwanza alimshawishi msolla ajenge chuo kikuu kikubwa tanzania yaani udom kwake arusha eneo la monduli
pili: Kushuka kwa gharama za mawasiliano ambazo zimeiathiri vodacom aliyeko swaiba wake na yeye

rostam: Ishu ya kushuka gharama za mawasiliano vodacom (tsh 1 kwa sek)

lukuvi: Hampendi kabisa lowassa kutokana na ujumbe wa nec iringa
natoa hoja michango jamani ka nimekosea.
 
jamani nimesikia kukosa kwa prof msolla kuwa waziri wkt alistahili kumetokana na mabwana wakubwa wawili wa nchi hii yaani rostam , na el kisa:

Lowassa: Kwanza alimshawishi msolla ajenge chuo kikuu kikubwa tanzania yaani udom kwake arusha eneo la monduli
pili: Kushuka kwa gharama za mawasiliano ambazo zimeiathiri vodacom aliyeko swaiba wake na yeye

rostam: Ishu ya kushuka gharama za mawasiliano vodacom (tsh 1 kwa sek)

lukuvi: Hampendi kabisa lowassa kutokana na ujumbe wa nec iringa
natoa hoja michango jamani ka nimekosea.

Huyo msolla mwenyewe ! Nani kakwambia anafaa na alistahili kuwa waziri?
 
jamani nimesikia kukosa kwa prof msolla kuwa waziri wkt alistahili kumetokana na mabwana wakubwa wawili wa nchi hii yaani rostam , na el kisa:

Lowassa: Kwanza alimshawishi msolla ajenge chuo kikuu kikubwa tanzania yaani udom kwake arusha eneo la monduli
pili: Kushuka kwa gharama za mawasiliano ambazo zimeiathiri vodacom aliyeko swaiba wake na yeye

rostam: Ishu ya kushuka gharama za mawasiliano vodacom (tsh 1 kwa sek)

lukuvi: Hampendi kabisa lowassa kutokana na ujumbe wa nec iringa
natoa hoja michango jamani ka nimekosea.
tufafanulie vigezo vyako kuwa alistahili?
 
huu ni umbea! Jamvi linahitaji hoja zenye evidence otherwise ni majungu na chuki binafsi......
 
Back
Top Bottom