Kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto Mkoani Iringa, ndani ya Chadema mkoa wa Iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina Abuu na Mbunge ambae ni Kiongozi wa kanisa.
Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?
Kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto Mkoani Iringa, ndani ya Chadema mkoa wa Iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina Abuu na Mbunge ambae ni Kiongozi wa kanisa.
Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?
Usipotumia akili zako ewe mleta mada, utaichukia jf bure.,.utasema unaonewa... unapewa nafasi nyngne, ongeza maneno uliyoyaacha kwny hilo bandiko.,.usitafute wa kumfia bana!
Usipotumia akili zako ewe mleta mada, utaichukia jf bure.,.utasema unaonewa... unapewa nafasi nyngne, ongeza maneno uliyoyaacha kwny hilo bandiko.,.usitafute wa kumfia bana!
Mimi pia nimeisikia ila sio kwa sababu za UDINI kama unavyosema ila wanamtuhumu mwenyekiti wao ambaye pia ni mbunge kwa kushindwa kuwasaidia madiwani kupita.Sijui kwa nini ZOMBA umeamua kusema ni ugomvi wa kidini?
Mbona sisi huku hatuna ugomvi wa kidini kabisa Mheshimiwa, umechemkaa, Kizibo kimefumuka nini?Kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto Mkoani Iringa, ndani ya Chadema mkoa wa Iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina Abuu na Mbunge ambae ni Kiongozi wa kanisa.
Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?
Vipi? kwani ni uongo? piga simu Chadema uwaulize, mpaka jamaa, Abuu, anashinikiza Mwenyekiti ajiuzulu, hata TBC wametangaza hii habari.
Kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto Mkoani Iringa, ndani ya Chadema mkoa wa Iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina Abuu na Mbunge ambae ni Kiongozi wa kanisa.
Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?
kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto mkoani iringa, ndani ya chadema mkoa wa iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina abuu na mbunge ambae ni kiongozi wa kanisa.
Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?