Ugeni na ....

4X4byfar

JF-Expert Member
Oct 29, 2008
201
17
Hivi jamani naombeni msaada kwenye hili swala au isije kuwa ninafikiria kimakosa! tuseme your husband has invited his friend home for lunch or dinner. Then baada ya maakuli na mivinyo kwa sana, anamlazimisha mwenzie alale home tena sebuleni kwenye safari bed maana chumba nikimoja cha kulala. Nimekaa nikachekecha sipati jibu maana huyo bwana angeweza kurudi home kwake na akapumzike. Nikiiuliza naambiwa ndo ulaya hii! Je huu niungwana wana JF?
 
Hivi jamani naombeni msaada kwenye hili swala au isije kuwa ninafikiria kimakosa! tuseme your husband has invited his friend home for lunch or dinner. Then baada ya maakuli na mivinyo kwa sana, anamlazimisha mwenzie alale home tena sebuleni kwenye safari bed maana chumba nikimoja cha kulala. Nimekaa nikachekecha sipati jibu maana huyo bwana angeweza kurudi home kwake na akapumzike. Nikiiuliza naambiwa ndo ulaya hii! Je huu niungwana wana JF?
Sijui upo nchi gani, lakini nchi nyingi ukiondoa Tz sio hairuhusiwi kuendesha gari ukiwa umelewa, hilo ni moja na iwapo huyo mgeni alikuja na gari lake hapo kwenu.

Pili labda jamaa alikuwa amelewa sana kiasi kwamba mume wako akaona sio vema akiondoka hata kwa taxi ama public bus.

Tatu inawezekana mgeni wenu alikuwa hana hata nauli ya taxi na muda wa public bus umeshapita na anakaa mbali, hivyo wazo la kulala likawa ni bora kabisa....

Anyway sio ajabu mgeni kulala ukumbini, sioni tatizo hapo, au wewe ulipenda mlale nae huko chumbani?

Mwisho huu ni uungwana kabisa..."Mambombotela"
 
Last edited:
Sijui upo nchi gani, lakini nchi nyingi ukiondoa Tz sio hairuhusiwi kuendesha gari ukiwa umelewa, hilo ni moja na iwapo huyo mgeni alikuja na gari lake hapo kwenu.

Pili labda jamaa alikuwa amelewa sana kiasi kwamba mume wako akaona sio vema akiondoka hata kwa taxi ama public bus.

Tatu inawezekana mgeni wenu alikuwa hana hata nauli ya taxi na muda wa public bus umeshapita na anakaa mbali, hivyo wazo la kulala likawa ni bora kabisa....

Anyway sio ajabu mgeni kulala ukumbini, sioni tatizo hapo, au wewe ulipenda mlale nae huko chumbani?

Mwisho huu ni uungwana kabisa..."Mambombotela"


Asante kwa maoni yako. Nipo uk, mgeni hakuwa amelewa, alikuwa na bus ticket ya one month. Let me wait for other members contribution also.
 
Lazima ni mwanaume wa shoka... bibi si kamwita huyo mgeni (..Mwenzake na mumewe)? Naona amemaanisha mwanaume.
 
akimleta siku nyengine ukiona dalili za kumkaribisha tena kulala .. unavaa kanga moja na mapemaaaa ... ujipitishe mara mbili tatu mbele yao .. si unajua tena mtoto wa kike .. mumeo will think otherwise .. usijisumbue kugombana nae .. actions speak louder than words
 
akimleta siku nyengine ukiona dalili za kumkaribisha tena kulala .. unavaa kanga moja na mapemaaaa ... ujipitishe mara mbili tatu mbele yao .. si unajua tena mtoto wa kike .. mumeo will think otherwise .. usijisumbue kugombana nae .. actions speak louder than words

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ahaaaaaaaa eeeeeeeeehh! naima dada wee kiboko! Duh, wengine dini imetukaa sana kwa hiyo inakuwa ngumu jamani.
 
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ahaaaaaaaa eeeeeeeeehh! naima dada wee kiboko! Duh, wengine dini imetukaa sana kwa hiyo inakuwa ngumu jamani.
Wewe nawe umetokea wapi dini gani hiyo.Maxxxxxxxx Shimba njoo....!!!
 
Kunaweza kuwa kuna kitu kinaendelea kati ya mumeo na huyo rafiki yake baada ya wewe kulala,jaribu kuchunguza kwanza na kama wote wapo hapo itakua rahisi wewe kugundua tulia kwanza,kuna mambo ya ajabu dunia hii.
 
akimleta siku nyengine ukiona dalili za kumkaribisha tena kulala .. unavaa kanga moja na mapemaaaa ... ujipitishe mara mbili tatu mbele yao .. si unajua tena mtoto wa kike .. mumeo will think otherwise .. usijisumbue kugombana nae .. actions speak louder than words

Heeeee!! hii kali, ...manake anaweza kumtoa nduki mgeni wa watu na asimwalike teena..!
 
Kunaweza kuwa kuna kitu kinaendelea kati ya mumeo na huyo rafiki yake baada ya wewe kulala,jaribu kuchunguza kwanza na kama wote wapo hapo itakua rahisi wewe kugundua tulia kwanza,kuna mambo ya ajabu dunia hii.

Kwa kweli hata mimi nilishaazanga kupata hizo hisia, nilifatilia kwa ukaribu ila kulikuwa hamna kitu. Then siku moja akajaga kumwambia demu mmoja anayedai wanaheshimiana sana from the same tribe eti alale. Hiyo siku ndo nilimpiga stop na kumwambia the house is not a ghetto place. From there akawa sasa akiwakaribisha anajitahidi sana mgeni akae mpaka saa saba usiku wakinywa na kupiga mziki kwa juu sana mpaka unadisturb mtu anayetaka kulala. Ndo maana nilikuja kuuliza hapa je, huu niungwana, bcoz nikama nimemharibia starehe yake jama!
 
Kwa kweli hata mimi nilishaazanga kupata hizo hisia, nilifatilia kwa ukaribu ila kulikuwa hamna kitu. Then siku moja akajaga kumwambia demu mmoja anayedai wanaheshimiana sana from the same tribe eti alale. Hiyo siku ndo nilimpiga stop na kumwambia the house is not a ghetto place. From there akawa sasa akiwakaribisha anajitahidi sana mgeni akae mpaka saa saba usiku wakinywa na kupiga mziki kwa juu sana mpaka unadisturb mtu anayetaka kulala. Ndo maana nilikuja kuuliza hapa je, huu niungwana, bcoz nikama nimemharibia starehe yake jama!

Hapo napumua vizuri kama hamna kitu kinachoendelea,baada ya jibu hili naona mko tafauti na mumeo wewe unataka utulivu yeye anataka kelele na ulevi sasa itabidi ubadilike au utampoteza.Kunywa nae,sikilizeni muziki pamoja(sauti ya wastani) hatakua na haja ya kuja na watu wakum-entertain.
 
Hapo napumua vizuri kama hamna kitu kinachoendelea,baada ya jibu hili naona mko tafauti na mumeo wewe unataka utulivu yeye anataka kelele na ulevi sasa itabidi ubadilike au utampoteza.Kunywa nae,sikilizeni muziki pamoja(sauti ya wastani) hatakua na haja ya kuja na watu wakum-entertain.

Nashukuru kwa mawazo, yawezekana hobbies haziendani. Nasiwezi kujilazimishia kuiga hobbies zake! Na zaidi ya hapo naoana anapenda magenge kama chokoraa. Mtu asiyekuwa na discipline na kuithamini ndoa yake ni kama chokaraa.
 
Nashukuru kwa mawazo, yawezekana hobbies haziendani. Nasiwezi kujilazimishia kuiga hobbies zake! Na zaidi ya hapo naoana anapenda magenge kama chokoraa. Mtu asiyekuwa na discipline na kuithamini ndoa yake ni kama chokaraa.

yawezekana umempiga mkwara ya kwenda viwanja kujumuika na
washkaji wake hivyo ndo kaamua kuburudika nao home. aidha kama
huo ndio ukweli basi nadhani anajitahidi kukuonyesha kwamba watu
anaokutana nao interest yao ni kinywaji na muziki na hakuna la zaidi.

nadhani ukimruhusu kujumuika na wenzake kunako viwanja ugeni
na kero vitakwisha home.
 
Hajakatazwa kwenda kujumuika na mtu yoyote. Sema uchokoraa ndo unaomsumbua naona na wewe ndo hao hao. Pole.
 
Nashukuru kwa mawazo, yawezekana hobbies haziendani. Nasiwezi kujilazimishia kuiga hobbies zake! Na zaidi ya hapo naoana anapenda magenge kama chokoraa. Mtu asiyekuwa na discipline na kuithamini ndoa yake ni kama chokaraa.

Umejaribu kukaa nae na kumueleza yale yanayokuumiza juu yake.... Samahani je ulikutana nae wapi kabla ya kukuoa? Nafikiri kabla ya mtu kuolewa/ kuowa huwa tunamuda wa kuchunguzana tabia n.k kama zinaendana au zinavumilika... Uckate tamaa dada kaa nae zungumza nae naamini kama anakupenda atabadilika
 
Umejaribu kukaa nae na kumueleza yale yanayokuumiza juu yake.... Samahani je ulikutana nae wapi kabla ya kukuoa? Nafikiri kabla ya mtu kuolewa/ kuowa huwa tunamuda wa kuchunguzana tabia n.k kama zinaendana au zinavumilika... Uckate tamaa dada kaa nae zungumza nae naamini kama anakupenda atabadilika

Nilishakaa naye sanaa... tulikutana dar es salaam, after one week he came to uk, then we went on with the contacts through the mails and telephone. It is true I have known my problem and I realy reglate with it. I think I will never make another mistake as this next time.
 
Nilishakaa naye sanaa... tulikutana dar es salaam, after one week he came to uk, then we went on with the contacts through the mails and telephone. It is true I have known my problem and I realy reglate with it. I think I will never make another mistake as this next time.

Pole sana watu huwa tunajifunza kutokana na makosa.... Mimi nami iliwahi kunitokea... naelewa jinsi unavyojisikia, inauma tena sana.. Wewe ni mwanamke Simama imara usikate tamaa. Pole angalia tu usije ukawa mtumwa wa mapenzi.. Mungu akusaidie
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom