Uganda's Opposition harmed by Museveni's hard tactics

Sidhani kama kufa kwa sababu za ubinafsi na uroho wa madaraka ni sifa nzuri, hautakuwa tofauti na mizoga ya majambazi na vibaka. Inahuzunisha sana kuona watu wa umri wako mkiitumbukiza nchi hii kwenye vita wakati ninyi mmelelewa kwa amani na utulivu, huu ni ubinafsi wa hali ya juu na historia itakukumbuka hivyo.
Nchi hii ni yetu wote sio ya koo fulani kama wewe hutaki kuandamana kwa kudai haki yako wakati rasilimali zinafujwa na akina kikwete ridhiwani na salma kaa ,sisi tutazidai kwa njia ya maandamano na mabunduki yatufuate tuzikwe kama mizoga lakini ukweli ni kwamba haki ya mtanzania haitapotea kwa ajili ya mafisadi,chuki zako hazitatutisha tuna ngozi ngumu
 
Nchi hii ni yetu wote sio ya koo fulani kama wewe hutaki kuandamana kwa kudai haki yako wakati rasilimali zinafujwa na akina kikwete ridhiwani na salma kaa ,sisi tutazidai kwa njia ya maandamano na mabunduki yatufuate tuzikwe kama mizoga lakini ukweli ni kwamba haki ya mtanzania haitapotea kwa ajili ya mafisadi,chuki zako hazitatutisha tuna ngozi ngumu

Brain washed fellow Tanzanian. Ninyi ndio zile ngazi za maiti za kumfikisha Slaa ikulu.
 
Mr. Museveni kwa kweli huu uonevu sasa umezidi. Mwisho wake naye utakuja kuwa mbaya tu. Yeye asubiri.
 
it was a plastic bullet.i bet they just wanted to show him that they can kill him if they wanted...
 
Lakini wakati umefika Bara la Afrika lijenge heshima yake na kuondokana na viongozi wenye mawazo mgando kama hao wenye kudiriki kuamru vyombo vya dola kushambulia wananchi kwa risasi.Risasi,bunduki uniform za hao askari zinatokana na kodi za wananchi hao hao anaoamuru wapigwe risasi.Hii ni aibu kubwa!!!Yanayotokea Libya na kungineko ni matokeo ya mambo kama hayo.
 
Ugandan President Yoweri Museveni yesterday warned he would not allow protests against food and fuel price rises led by opposition leader Kizza Besigye. Museveni blamed drought in the east African country for the rising food prices and said international events had pushed up the price of oil.
“There will be no demonstrations in Kampala ... if Besigye wants to walk for exercise let him do it somewhere else,” Museveni told a media conference at his rural home southwest of the capital.
“If Besigye demonstrates, will it bring international oil prices down because he has demonstrated? Will it rain because Besigye has demonstrated?” said Museveni in his first public reaction to the protests.
Prices have been rising after drought cut food output across Uganda, while higher global oil prices have increased transport costs, pushing up food prices further in urban areas. The consumer price index jumped 4.1% in March from February, pushing the year-on-year inflation rate to 11.1%, the fifth straight rise.
Security forces on Thursday fired rubber bullets and teargas to disperse a crowd of more than 1,000 led by Besigye, Museveni’s closest rival in February elections.
Besigye said he was injured in the march to the centre of Kampala after a rubber bullet struck his finger.
Protests were also reported in the second busiest commercial town of Jinja in eastern Uganda, Masaka in south western Uganda, and Gulu to the north, epicentre of a now fizzled-out two-decade rebellion.
Many Ugandans complain of worsening poverty, but others respect Museveni for bringing stability to a country once plagued by brutal despots such as Idi Amin. (Gulf Times)
 
Ugandan President Yoweri Museveni yesterday warned he would not allow protests against food and fuel price rises led by opposition leader Kizza Besigye. Museveni blamed drought in the east African country for the rising food prices and said international events had pushed up the price of oil.
“There will be no demonstrations in Kampala ... if Besigye wants to walk for exercise let him do it somewhere else,” Museveni told a media conference at his rural home southwest of the capital.
“If Besigye demonstrates, will it bring international oil prices down because he has demonstrated? Will it rain because Besigye has demonstrated?” said Museveni in his first public reaction to the protests.
Prices have been rising after drought cut food output across Uganda, while higher global oil prices have increased transport costs, pushing up food prices further in urban areas. The consumer price index jumped 4.1% in March from February, pushing the year-on-year inflation rate to 11.1%, the fifth straight rise.
Security forces on Thursday fired rubber bullets and teargas to disperse a crowd of more than 1,000 led by Besigye, Museveni’s closest rival in February elections.
Besigye said he was injured in the march to the centre of Kampala after a rubber bullet struck his finger.
Protests were also reported in the second busiest commercial town of Jinja in eastern Uganda, Masaka in south western Uganda, and Gulu to the north, epicentre of a now fizzled-out two-decade rebellion.
Many Ugandans complain of worsening poverty, but others respect Museveni for bringing stability to a country once plagued by brutal despots such as Idi Amin. (Gulf Times)

let Ugandans handle their business...
 
Uganda opposition leader Dr Kizza Besigye has been arrested minutes after leaving his home in Kasangati as he planned to renew protests over the rising cost of living in the country, police spokesperson Judith Nabakooba confirms. Kasangati is a small town in Wakiso District, central Uganda.

"Dr Besigye was arrested as he left his house this morning and is being held in Kasangati" police station on the outskirts of Kampala, Alice Alaso, secretary general of Besigye's Forum for Democratic Change, told AFP.

Dr Besigye's arrest is the third time within a period of 14 days since the walk-to-work campaign began in Kampala before spreading to other major upcountry towns.
 
Jamani hapo ni utamu wa Kuwa rais na hasira na uchungu wa kuukosa uraisi miaka yote
 
Kauli kama hizi si za kupuuzia kabisa, siku maandamano yakiwa makubwa Museveni hatosita kutumia nguvu na pengine ata kuua raia ili aendelee kubaki madarakani.

Hawa ndio viongozi tunaowategemea watuletee maendeleo, tuna safari ndefu sana.
 
Eqlypz;1870785]Kauli kama hizi si za kupuuzia kabisa, siku maandamano yakiwa makubwa Museveni hatosita kutumia nguvu na pengine ata kuua raia ili aendelee kubaki madarakani.

Hawa ndio viongozi tunaowategemea watuletee maendeleo, tuna safari ndefu sana.



Ni ukweli usiyopingika kuwa ma-rais wengi wa Africa ni Madikiteta na wana uchu wa madaraka. Wako tayari kupoteza maisha ya watu ili mradi waendelee kubaki madarakani. Utafikili wao walizaliwa kuwa marais wa maisha....Africa tuna kazi sana.
 
Huyu M7 siku zake naye zinahesabika. Mwisho wa ukatili wake itakuwa aibu kubwa kwake na familia yake. Let him wait.
 
President Museveni has said he will not allow FDC's Kizza Besigye to continue with his Walk to Work demonstrations.

Museveni cautioned that anyone planning to carry on with the demonstrations that paralysed parts of Kampala, Masaka, Gulu and Mbarara on Thursday last week, and are set to resume today, will be crushed.

"That is why we made it clear to Besigye that you are not going to demonstrate; if you want to walk as an exercise, go and walk somewhere else. But to walk so that you attract attention and thieves follow you looting...We are going to deal with him; there will be no demonstration in Kampala".

The Observer - Besigye actions are treason - Museveni
 
Nadhani hiki ndicho kinachotakiwa kufanywa kwa wanaoshindwa chaguzi na ku resort kwenye kuhamasisha vurugu kama Slaa.

Sasa mkuu si mfanye kama anavyofanya M7 kwa nini tuandikie mate wakati wino mnao?
 
Back
Top Bottom