Nono
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,536
- 643
Museveni further said the government had rejected calls from oil exploration companies to drop the idea of building a refinery, in favour of exporting unrefined crude.
"We shall not export unrefined crude, Uganda is not a place for playing games," he said. "When I went to Iran, the Iranian president told me Iran has nine refineries, and is in the process of building seven more."
Uganda and Iran have since signed an agreement for the establishment of a refinery in Uganda.
Hili limenifurahisha mno!
Wakati sisi tunauza madini yetu ghafi pamoja na mchanga tusiojua una kitu gani ndani yake. Kwa mujibu wa M7 Tanzania ni nchi ya kuchezea kamari. Je, hili ni kweli, Kikwete na serikali yako mtujibu watanzania