Lazima tuwekeza kwa vijana wa umri mdogo yaani kuanzi miaka saba by the time kijana huyu nafikisha miaka kumi na tano tayari ameshajengeka kimwili na sio kwenda kuokota mtaani embu niambieni ni lini juma joso alianza kusakata kabumbu,pili wachezaji wa tanzania wanalewa sifa mapema mfano john Boko na Tegete hawa vijana kwa standar za ktz angalao walijulikana kabla hawajafimisha miaka ishirini lakini wameshindwa kuongeza bidii na hivyo kujikuta badala ya kisonga mbele wao wanarudi juma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.