The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 20
Hivi karibuni waziri mmoja mwanasiasa alikataa kwamba matumizi ya internet Tanzania hayapo chini sana. Alidai ilibidi ripoti (sikumbuki jina la waziri na kampuni iliyofanya utafiti) ilingane na matumizi ya simu. Ukiangalia ramani hii hapa kutoka facebook http://sphotos.ak.fbcdn.net/hphotos...79288597199_9445547199_5658562_14158417_n.jpg utagundua kuwa watumiaji facebook Tanzania (na kwa hiyo internet) ni wachache. Lakini ukanda wa kaskazini na kenya na Uganda wanaonekana kuwa juu. Je hii ina uhusiano na uelewa wa kisíasa unaonekana Kaskazini mwa Tanzania?