Uganda kuwaondoa kazini askari wenye vitambi

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
22,050
Serikali ya uganda imepanga kuondoa maaskari wote wenye vitambi;akiongea kwa huzuni mkuu wa mapolisi wa uganda amesema ni kweli serikali iko kwenye mchakato;unajua wale tunawaweka sehemu maalum;sasa kwenye mabank wazee wa kazi wakija ;awapigi hata kelele na wengi silaha zao huchukuliwa kirahisi.....
Mhhhh jamani uganda na nyie;hili zoezi wakija si wanaanza na MKUU WA TRAFIKI
MZEE KOMBE ;NAHISI KUWAMALIZA WOTE NA KUFANYA INTERVIEW UPYA
MUNGU AJALIE MAANA NDUGU ZETU WENGIN WEMENENEPEANA VITAMBI BARABARANI UKIWAONDOA SIJUI
 
Back
Top Bottom