figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,490
- 54,884
uganda imeaga mashindano ya africa baada ya kufungwa penalti tisa kwa nane. mara ya kwanza Uganda ilivyo enda zambia ilifungwa goli moja na leo uganda imeifunga zambia goli moja lililopelekea mikwaju ya penalt. mia