Arusha Mambo
Senior Member
- Jan 27, 2011
- 174
- 150
Sikiliza Bunge la Uganda linavyoendeshwa ili kuona control na Order za Spika wa Bunge hilo,
Hali ni kama Tanzania au zaidi kwa sababu kuna saa licha ya Mawaziri kuchekwa wazi wazi na majibu yao kukataliwa na Wabunge kwa kukosa uhalisia, pia hawasikilizani, Mawaziri wa Nchi hiyo wanabanwa sana na Wabunge.
Kuanzia kesho June 28, tutakuwa pia tunawaunganisha na Kipindi cha Bunge cha Uganda. mara baada ya kikao cha Bunge la Tanzania kumalizika Sa7mchana
Ili kusikilizabonyeza hapa:
http://tunein.com/tuner/?StationId=158711&
Redio ikifunguka usiache ku LIKE na kutuma maoni yako kwa info@arushamambo.com
Hali ni kama Tanzania au zaidi kwa sababu kuna saa licha ya Mawaziri kuchekwa wazi wazi na majibu yao kukataliwa na Wabunge kwa kukosa uhalisia, pia hawasikilizani, Mawaziri wa Nchi hiyo wanabanwa sana na Wabunge.
Kuanzia kesho June 28, tutakuwa pia tunawaunganisha na Kipindi cha Bunge cha Uganda. mara baada ya kikao cha Bunge la Tanzania kumalizika Sa7mchana
Ili kusikilizabonyeza hapa:
http://tunein.com/tuner/?StationId=158711&
Redio ikifunguka usiache ku LIKE na kutuma maoni yako kwa info@arushamambo.com