Uganda: Bunge Live - Sikiliza Uendeshwaji wa Bunge la Uganda

Arusha Mambo

Senior Member
Jan 27, 2011
174
150
Sikiliza Bunge la Uganda linavyoendeshwa ili kuona control na Order za Spika wa Bunge hilo,

Hali ni kama Tanzania au zaidi kwa sababu kuna saa licha ya Mawaziri kuchekwa wazi wazi na majibu yao kukataliwa na Wabunge kwa kukosa uhalisia, pia hawasikilizani, Mawaziri wa Nchi hiyo wanabanwa sana na Wabunge.

Kuanzia kesho June 28, tutakuwa pia tunawaunganisha na Kipindi cha Bunge cha Uganda. mara baada ya kikao cha Bunge la Tanzania kumalizika Sa7mchana

Ili kusikilizabonyeza hapa:
http://tunein.com/tuner/?StationId=158711&

Redio ikifunguka usiache ku
LIKE na kutuma maoni yako kwa info@arushamambo.com
 
Sikiliza Bunge la Uganda linavyoendeshwa ili kuona control na Order za Spika wa Bunge hilo,

Hali ni kama Tanzania au zaidi kwa sababu kuna saa licha ya Mawaziri kuchekwa wazi wazi na majibu yao kukataliwa na Wabunge kwa kukosa uhalisia, pia hawasikilizani, Mawaziri wa Nchi hiyo wanabanwa sana na Wabunge.

Kuanzia kesho June 28, tutakuwa pia tunawaunganisha na Kipindi cha Bunge cha Uganda. mara baada ya kikao cha Bunge la Tanzania kumalizika Sa7mchana

Ili kusikilizabonyeza hapa:
http://tunein.com/tuner/?StationId=158711&

Redio ikifunguka usiache ku
LIKE na kutuma maoni yako kwa info@arushamambo.com

sidhani kama linatusadia kutatua matatizo yetu
 
Sikiliza Bunge la Uganda linavyoendeshwa ili kuona control na Order za Spika wa Bunge hilo,

Hali ni kama Tanzania au zaidi kwa sababu kuna saa licha ya Mawaziri kuchekwa wazi wazi na majibu yao kukataliwa na Wabunge kwa kukosa uhalisia, pia hawasikilizani, Mawaziri wa Nchi hiyo wanabanwa sana na Wabunge.

Kuanzia kesho June 28, tutakuwa pia tunawaunganisha na Kipindi cha Bunge cha Uganda. mara baada ya kikao cha Bunge la Tanzania kumalizika Sa7mchana

Ili kusikilizabonyeza hapa:
http://tunein.com/tuner/?StationId=158711&

Redio ikifunguka usiache ku
LIKE na kutuma maoni yako kwa info@arushamambo.com

wewe ni mganda??tooka hapa!
 
Bunge letu hawawezi kuelewana ni mchanganyiko maalum; majambazi, wanasheria, marepa, wacheza ngoma za kienyeji, wezi, waganga wa kienyeji; mission town yaani kazi ipo

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom