Ugaidi wa serikali ya Marekani.

Echolima.
Huu ndio mchango wako?

Kwa nini umefikia hitimisho kuwa naichukia Marekani?

Nilichofanya mimi ni kudondoa kutoka vyanzo tofauti, video au mada zinanazokushawishi kuwa Marekani wanafanya ugaidi na kusingizia wengine kwa lengo la kutanua himaya yao.

Kama una vyanzo vya taarifa au video, weka hapa na onesha kuwa US hawafanyi ugaidi au hawatanui himaya yao kwa kutumia ugaidi.

Unaelewa maana ya chuki?

Watu wengine hawawezi kuhimili kusikia ukweli.

Hata kwa tafsiri yako kuwa mimi nimeleta mada au mjadala, hakuna ambaye amezuiliwa kuandika maoni yake vile apendavyo. Badala ya kutaka malumbano ya chuki/mapenzi nami ungeweka machango wako kama kuisafisha US au vyenginevyo.Chagua moja kati ya hizo 20 ulizoziona na toa maoni yako.

Kwa mfano, tetea uwepo wa AFRICOM katika nchi za Afrika(Bara la Afrika) au onesha madhahara ya uwepo wake kwa Afrika.
Karibu mkuu.
NONDA
Nimefatilia sana post zako nyingi sana kama si zote umekuwa mstari wa mbele kuishambulia Marekani na wala si Iran kutaka kukwepa vikwazo ilivyowekewa na Umoja wa mataifa kwa kushawishi meli zake zipeperushe Bendera ya taifa lingine ili kukwepa vikwazo hivyo kusababisha nchi zingine zionekane zinashirikiana nayo kukwepa vikwazo.
Hiyo chuki dhidi ya marekani hujaianza leo nionavyo mimi yawezekana kabisa unaongozwa na hisia fulani sijaona hata post yako moja ambayo unalaani vitendo vinavyofanywa na nchi yoyote utafikiri anayejamba ni Mmarekani peke yake mbona hata wengine hujamba mbona huwasemi??????ila Mmarekani ndiye mwenye Mafyuzi pekee yake lazima na wewe uwe FAIR.
Sitapenda kusema au kukuunga mkono maana wewe huko FAIR unapendelea watu fulani au nchi fulani na unachukia nchi fulani fulani kwa maslahi yako Binafsi keep-it-down.
 
NONDA
Nimefatilia sana post zako nyingi sana kama si zote umekuwa mstari wa mbele kuishambulia Marekani na wala si Iran...

ila Mmarekani ndiye mwenye Mafyuzi pekee yake lazima na wewe uwe FAIR.

Sitapenda kusema au kukuunga mkono maana wewe huko FAIR unapendelea watu fulani au nchi fulani na unachukia nchi fulani fulani kwa maslahi yako Binafsi keep-it-down.

Mkuu Echolima

Kama unanifatilia vyema michango yangu huwa naweka na links ambazo ukiunganisha dots utaona hiyo title ya thread inafanya kazi.

Sasa kama wewe umetafsiri kuwa mimi naichukia Marekani/ wamarekani basi nawe una haki ya kuichukia Iran. Anzisha thread, napendekeza, Ugaidi wa serikali ya Iran. Halafu uweke michango yako na wengine watachangia nikiwemo na mimi.

Historia ambayo serikali ya US, state department na CIA imejilimbikizia kwa miongo kadha ni ku-cameroon watu na mataifa katika kila kipembe cha dunia hii.

Afrika, Latin America, Asia na sasa hivi Arab spring na utanuaji wa shughuli za AFRICOM katika Afrika. aka vita dhidi ya ugaidi.
 
NONDA
Nimefatilia sana post zako nyingi sana......... kama si zote umekuwa mstari wa mbele kuishambulia Marekani na wala si Iran kutaka kukwepa vikwazo ilivyowekewa na Umoja wa mataifa kwa kushawishi meli zake zipeperushe Bendera ya taifa lingine .........
Sitapenda kusema au kukuunga mkono maana wewe huko FAIR unapendelea watu fulani au nchi fulani na unachukia nchi fulani fulani kwa maslahi yako Binafsi keep-it-down.
Angalia hii video, kuna mdada anapasua kioo cha r/luninga(TV)

 
Last edited by a moderator:
The site operated behind the front of another federal organisation which the New York Times did not name.

The office was used as a base to spy on and recruit overseas diplomats working at the United Nations, and played a major role in espionage operations against Russian intelligence officers, the paper says.

It also kept up contacts with several leading US business executives, who shared information with the CIA after foreign business trips.
Agents based at the Manhattan site often worked undercover, pretending to be diplomats or business executives.

Pata longo longo hapa BBC News | AMERICAS | CIA office 'lost in terror attack'
 
Wakuu.
Kuna hizi videos zinazokushawishi uamini US ni magaidi at the true sense of the word!

Kuna mipango mingi hufanyika nyuma ya jukwaa la siasa la kuhakikisha US anaweka bases zake katika nchi tofauti duniani.
Mbinu moja ni kuanzisha vita kwa visingizio kama vile vya Iraq na Afghanistan kwa karibuni, lakini pia kupitia intervensions kama hizi za Libya na kuwait.

Pia huwa wanapiga ofisi zao mabomu, au meli zao za kivita na halafu huwasingizia watu , nchi, au vikundi vyengine ili kuunda visingizio vya kuzivamia au kujiingiza katika nchi hizo.

Mbinu ya nipe nikupe pia hutumika. Kama kuwarubuni viongozi wa nchi ambayo US wanataka kitu hapo au kutoa misaada iliyonona na mikubwa kwa matarajio ya kuvuna zaidi siku za usoni.

Katika nchi kama Yemen waliripua meli ya kivita,(manoari) na halafu wameingia Yemen kwa kisingizio cha kuwapiga na kuwatokomeza Al-qaeda.

Tanzania na kenya wameripua balozi zao na wanatoa misaada mikubwa huku wakijitayarisha kwa shughuli zao za baadae, mafuta ya Uganda yapate urahisi wa kusafirishwa na makampuni yao yapate nafasi ya kukomba rasilimali.




[video=google;7866929448192753501]http://video.google.com/videoplay?docid=7866929448192753501#[/video]

Mkuu pole sana na Link wameshainyofoa kama kawaida!!! hayo ndiyo hayahitajiki kujulikana, na wapo hata wakiona hiyo video watakataa na kusema wanasingiziwa! yaani...! Hapa ndipo ninapomkumbukaga Nyerere saa zingine.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu pole sana na Link wameshainyofoa kama kawaida!!! hayo ndiyo hayahitajiki kujulikana, na wapo hata wakiona hiyo video watakataa na kusema wanasingiziwa! yaani...! Hapa ndipo ninapomkumbukaga Nyerere saa zingine.

Aiseee!!!! Umesema kweliii! Mbona hiyo tabia ni kama ya Chama chetu kikuu cha Upinzani bwashee!!! ati!
 
NONDA
Nimefatilia sana post zako nyingi sana kama si zote umekuwa mstari wa mbele kuishambulia Marekani na wala si Iran kutaka kukwepa vikwazo ilivyowekewa na Umoja wa mataifa kwa kushawishi meli zake zipeperushe Bendera ya taifa lingine ili kukwepa vikwazo hivyo kusababisha nchi zingine zionekane zinashirikiana nayo kukwepa vikwazo.
Hiyo chuki dhidi ya marekani hujaianza leo nionavyo mimi yawezekana kabisa unaongozwa na hisia fulani sijaona hata post yako moja ambayo unalaani vitendo vinavyofanywa na nchi yoyote utafikiri anayejamba ni Mmarekani peke yake mbona hata wengine hujamba mbona huwasemi??????ila Mmarekani ndiye mwenye Mafyuzi pekee yake lazima na wewe uwe FAIR.
Sitapenda kusema au kukuunga mkono maana wewe huko FAIR unapendelea watu fulani au nchi fulani na unachukia nchi fulani fulani kwa maslahi yako Binafsi keep-it-down.
Lete Hoja kupinga Hoja mkuu! hapa hakuna mtu anapost kitu kuungwa mkono au kusifiwa la, ni ukumbi wa majadiliano kama una hoja weka hoja ipinge hoja watu wapime!
Kutokuwa Fair kunakujaje kwenye kujadili? Kila mmoja anapaswa kusimama alipo na kutetea hija yake huku akileta ushahidi kuthibitisha hoja yake, hivyo basi ni vema kuvunja hoja kwa hoja na si lawama au maneno matupu.. vinginevyo SINDANO zitaendelea kuingia tu na dawa itasukumwa!
 
Nani alinda Al qaeda?
Msikilize aliyekuwa Rais wa Pakistan katika hii video.

 
Last edited by a moderator:
NONDA
Nimefatilia sana post zako nyingi sana... Iran kutaka kukwepa vikwazo ilivyowekewa na Umoja wa mataifa kwa kushawishi meli zake zipeperushe Bendera ya taifa lingine ili kukwepa vikwazo hivyo kusababisha nchi zingine zionekane zinashirikiana nayo kukwepa vikwazo.
....unachukia nchi fulani fulani kwa maslahi yako Binafsi keep-it-down.

Nimesoma hii makala. link unbeyond . Wewe unauonaje utendaji wa UN?
 
Unajifanya wewe ndio wa kwanza kuona hizo video?

Serikali ambazo zimeruhusu US kuweka bases kwao zinajua juu ya hizi video, hata senate ya Marekani. Hii inaonesha jinsi ulivyo na akili za kitoto na kutojua impact ya technolojia. Kwa akili ya kijijini mwenyewe unaona umevumbuuuuuua
 
Mkuu pole sana na Link wameshainyofoa kama kawaida!!! hayo ndiyo hayahitajiki kujulikana, na wapo hata wakiona hiyo video watakataa na kusema wanasingiziwa! yaani...! Hapa ndipo ninapomkumbukaga Nyerere saa zingine.

Hizo video zipo youtube miaka mingi tu, yaelekea mmeziona leo, eti?

Hivi hata kama ni kweli, mnadhani wao ni wajinga kufanya mambo makubwa kama haya na kuacha mwanya wa kuonekana. Akili zingine hizi
 
Hizo video zipo youtube miaka mingi tu, yaelekea mmeziona leo, eti?

Hivi hata kama ni kweli, mnadhani wao ni wajinga kufanya mambo makubwa kama haya na kuacha mwanya wa kuonekana. Akili zingine hizi
Kila uongo huwa unayo nafsi ya kujulikana... na hapo ndipo nnaposema pia AKILI ZINGINE HIZI! Huwa zinawapofusha watu, hata uongo wanaweza kuutetea ili mradi BWANA aridhike! na Bwana mwenyewe huwa haridhiki kwa sababu anatazama maslahi yake...na midhali kina ninyi mgalipo ATAENDELEA KUWA KAMA ALIVYO NANYI MTAENDELEA KUWA KAMA MLIVYO!! Je unajifanya hujui nini Kilitokea VIETNAM PIA? zile picha hazikutengenezwa pia? Na ukweli haukujulikana hatimae?
 
Nonda acha chuki zako na video zako za kuunga-unga hapani Great-Thinkers.
 
Nonda acha chuki zako na video zako za kuunga-unga hapani Great-Thinkers.

Mkuu Echolima
Umeshapata mgao wa vyandrua?

Echolima kwa nini umeshikilia kuwa nina chuki?
Hizo video na makala sijazitengeneza mimi,wala sijaziandika mimi. Mimi nimeziweka kwa mwenye kutaka kufanya udadisi ajiridhishe.

Kuita "spade a spade" sio chuki mkuu. Pia mimi sisikilizi na kutazama propaganda za serikali na mainstream media tu. Zipo pia alternative media na ndizo zinazofichua uovu na uoza wa serikali nyingi duniani.

Unaelewa kuwa kuna Occupy Wall Street Movement? Link https://www.jamiiforums.com/international-forum/174551-wall-street-protest.html Au nayo ni chuki ya Nonda?
 
mkuu nonda naona kama hii thread yako mabingwa wenzako wameisusia vile.post karibu zote ni za kwako mwenyewe.kulikoni mkuu?!
Kadoda11

Mabingwa ni kina nani?
Pia sio lazima kila thread ichangiwe. Kama wewe umeweza kutazama hizo video au kusoma makala za hii thread na kuambulia chochote basi utakuwa hujadoda. Utakuwa umetazama na kujionea mambo katika mwelekeo tofauti. Ni faida kubwa sana kupembua habari kutoka vyanzo tofauti.

Pata muda na google "History of US covert operations"

Unaelewa kuwa BAADA YA US KUIVAMIA AFGHANISTAN UZALISHAJI WA OPIUM AMEENGEZEKA? LINK http://reinep.wordpress.com/2011/09/13/before-the-us-invaded-afghanistan/
 
Nonda acha chuki zako na video zako za kuunga-unga hapani Great-Thinkers.

US drones kill up to 80% civilians – Pakistan Interior Minister

The absolute majority of the people killed by American UAVs in Pakistan are innocent civilians, claims Pakistani Interior Minister Rehman Malik. If given the drone technology, Pakistan would do a better job, he argued earlier.

­Malik revealed that according to Islamabad's calculations, the number of drone attacks in recent years totaled 336, of 96 of which were launched from Afghanistan.

There are no exact statistics on the number of people killed in drone strikes in Pakistan. Estimates vary from about 2,500 to over 3,000 victims. As many as 174 of them were reportedly children.

link chuki
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom