WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
Bongo Movie Club wanajiandaa kwenda Dodoma kwa ajili ya mechi yao na Wabunge
hapo Ijumaa, lakini tayari kuna kashfa imeikumba club hiyo na viongozi wanajitahidi kuzima
kashfa isijulikane kwenye vyombo vya habari kabla hawajacheza na wabunge.
Jana kutwa nzima na hata leo wana kikao cha kuweka mambo sawa hasa. Nimebahatika kuipata
meseji iliyotumwa na Msani mmoja wa kike kwenda kwa viongozi wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF)
akiwalalamikia, meseji yenyewe ni hii (sijaongeza neno):
Ni msg yenu VIONGOZI kabla ya safari ya Dodoma; Kumekuwepo unyanyasaji mkubwa kwenye
CLUB, ngono, majungu na ufisadi. msanii wa kike aitwaye SNURA kagaragazwa sana na Stieve Nyerere
walipokwenda Mwanza. Hartmann (mwenyekiti wa club) kawagaragaza JACK na WEMA, na bado kuna
wengine anawahitaji, tena kwa nguvu, nyie mmekaa kimya!
Huyo Stieve na Chiki wamegeuza CLUB sehemu ya kujipatia pesa kwa mapedeshee. ONYO hatukuja
kugarazazwa tuheshimiwe la sivyo tutaripoti kwenye vyombo vya habari.
*Hapo kwenye RED nimeamua kubadili maneno yaliyokuwa yameandikwa kwa sababu za kimaadili
hapo Ijumaa, lakini tayari kuna kashfa imeikumba club hiyo na viongozi wanajitahidi kuzima
kashfa isijulikane kwenye vyombo vya habari kabla hawajacheza na wabunge.
Jana kutwa nzima na hata leo wana kikao cha kuweka mambo sawa hasa. Nimebahatika kuipata
meseji iliyotumwa na Msani mmoja wa kike kwenda kwa viongozi wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF)
akiwalalamikia, meseji yenyewe ni hii (sijaongeza neno):
Ni msg yenu VIONGOZI kabla ya safari ya Dodoma; Kumekuwepo unyanyasaji mkubwa kwenye
CLUB, ngono, majungu na ufisadi. msanii wa kike aitwaye SNURA kagaragazwa sana na Stieve Nyerere
walipokwenda Mwanza. Hartmann (mwenyekiti wa club) kawagaragaza JACK na WEMA, na bado kuna
wengine anawahitaji, tena kwa nguvu, nyie mmekaa kimya!
Huyo Stieve na Chiki wamegeuza CLUB sehemu ya kujipatia pesa kwa mapedeshee. ONYO hatukuja
kugarazazwa tuheshimiwe la sivyo tutaripoti kwenye vyombo vya habari.
*Hapo kwenye RED nimeamua kubadili maneno yaliyokuwa yameandikwa kwa sababu za kimaadili