Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
- Thread starter
- #61
Dah ni kweli,lakini sijakupata vizuri.Ninachotaka nipe idea angalau jinsi ya kupunguza huu ufisadi ,because we are kooking for solutions.Do you mean I must start with myself first? Ninachoona hapo hakuna anayeweza kumuwajibisha mwenzie. bosi atamuonea haya Mfagizi kumwambia usitoroke kazini,sababu huwa anamtuma wakati mwingine sokoni kununua vitu vya nyumbani.Hebu nielezee vizuri tafadhali.
Binti Sayuni,
Kanisani kuna ule wimbo "Toa kwanza boriti, kwenye jicho lako, ndipo utaona kibanzi, kwenye jicho la mwenzako...."