Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Watanzania wengi ni mafisadi siyo kweli ....Watanzania wengi (70%) wanafanya kazi za kilimo, 20% wanafanya kazi kwenye informal sector kazi binafsi kwa maana hiyo kama asilimia 90% wanajishughulisha na kazi zao binafsi kuwa fisadi kwa mkulima wa Tanzania ni ndoto ya mchana... kabisa??? ila yeye anaibiwa na watu wengine??Hajasema hivyo. Labda ukirudia kusoma ujumbe wake utamwelewa fasaha.
10% ya watanzania ndio wako serikali na wanasiasa (technorat) hawa ndio wanaofanya ufisadi katika serikali na si watanzania wengi! NO NO big NO!
Rev. Kishoka asema wakulima/mkulima yupi ni fisadi Tanzania?? watu tunakula hard earn money kwenye informal sector wala hakuna uwizi na kodi tunalipa sana...washenzi wako serikali wanatafuna ..ambao less than 10% of all population???