sina njaa! huku nipo ni tatu asubuhi swaum sio kali! ... forget about muandishi anafikiria nini point ni kwamba kitendo cha kufanya mkutano bar mwezi wa ramadhan chadema hapo wamekosea .. why is it so hard to swallow your pride na kukubali umekosea ..
Mkuu, hiki chama kinawatu mbumbu kikweli wanashindwa kuelewa 1+1==2, watabaki na wanachama wa kifamilia