Elections 2010 Ufunguzi wa Kampeni ya Chadema Jangwani 2010

Anaongelea mfumo mbovu wa sheria za uchaguzi
Aliporudi toka USA alikamatwa kwa kosa kuhoji habari za wachimbaji wadogo wadogo
Jana JK kaahidi watapewa fidia
JK ndiye aliesaini Mkataba na kampuni ya kanada iliyopelekea mauti ya wachimbaji wadogo dogo

Mkataba unaonyeshwa laive na saini ya JK
 
LIVE: Hivi sasa TBC1 inarusha matangazo ya moja kwa moja kutoka viwanja vya Jangwani hapa Dar, yakionesha uzinduzi wa kampeni ya CHADEMA.

Kampeni imezinduliwa kwa sala, ambapo mtoto wa Sheikh Yahaya Hussein, Hassan Yahaya Hussein ametoa dua kwa Kiislam naye Grace Shellukindo maombi kwa Kikristo.

Sasa baadhi ya wagombea na viongozi wa CHADEMA wanaongea. Kwa kweli kuna umati mkubwa sana wa watu wa rika mbali mbali, wengi wao wakiwa watu wazima, watoto ni wachache.

Waliosema TBC1 inawapendelea CCM sasa mkae mkao wa kula. TBC1 ni chombo cha UMMA, hakina ubavu wa kupendelea upande wowote ule wa chama cha siasa, kwa kuwa inaendeshwa kwa kodi za Watanzania, walio na wasio wanachama wa vyama vya siasa.

-> Mwana wa Haki

P.S. Dhana ya Ari Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mpya inachambuliwa....


....Mkuu, haya maneno naomba mkutano uishe kwanza salama ndio uyaseme. ameishasema mchangiaji mmoja hapa, hawakawii hawa kukata umeme na kudai kuwa kuna waya umetafunwa na mamba Kihansi

 
Mkataba umesainiwa 1994, JK atuambie ni lini atwaomba radhi Wa TZ kwa waliofariki.

Lini atamwomba radhi (Lissu) kwa kukamatwa kwake
 
Bomu au KOMBORA la kwanza limeachiwaaaaa...............TINDU LISSU anaonyesha mkataba uliosainiwa na Luteni Kanali Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 1994!!!!!!
 
Sasa sheria za uchaguzi na uozo wake
Mazingira yanaipendelea CCM
Tuspoasngalia Mafisadi wataiba uchaguzi na Haki zetu
 
Mazingira mabovu:
Uchaguzi chini ya sheria ya mfumo wa chama kimoja ya mwaka 1985 licha ya viraka vyake

Ya madiwani ya 1979
gharama za Uchaguzi 2010, ni ya kulinda mafisadi
 
Mmeshuhudia wa CHADEMA wakienguliwa kwa visingizio vya sheria
Wanaosimamia Uchaguzi hawako huru
Wa TAMISEMI chini ya MIZENGWE PINDA (alivyotamka)
 
Tundu Liissu infull respect anagusia mapungufu ya sheria za uchaguzi, na pia aligusia katika hisia kali
 
Ni marufuku kuagiza vitu toka Nje kuanzia 31st July. Lakini JK kaagiza helikopta 2 toka Nje.

Pia inakataza kutumia pesa za serikali.

Mwanahalisi imeandika na Ikulu imeingia mitini hawana jawabu
 
Wadau wanapiga kelele awekewe pingamizi . . . . watafanya hivyo Jumatatu! Ila msishangae pingamizi likiamuliwa kinyume. Tujiandae kwa majibu ya kutabirika.

Tendwa na Makame ni wateule wa JK
 
31st October tunataka wabunge wapya na rais mpya, Tufanye mabadiliko katika sheria za uchaguzi badala ya kuwa na viongozi WABAKA UCHUMI

Wote tunawajibu wa kuuzoa uchafu huu na kuanza upya

Lissu . . . kamaliza

Du! Jamaa mkali si mchezo. Uwanja umelindima
 
Juu Kombati, Chini Black Trouser

Chadeeeemaaaa - - - - Veeemaaaaa
Tunaweka pembeni upunge kidogo . . .
DJ niwekeeeee. . . .

Wananiita Sugu . . .

Tukikubali tukikataaa . . .
 
Wanamwita Sugu X 2 Sugu Sugu Sugu

Wanamwita Sugu

Sugu mtu wa Vurugu, Dume la Mbegu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom