Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,323
- 6,848
Very contradictory!!!Naamini watanzania wana macho na masikio.Kama wapinzani ni wa dizaini hii,CCM itakuwepo for lots of years to come.
Uko sawa kabisa ndugu, mf sasa hivi kikwazo kikubwa cha CHADEMA ni wapinzani zaidi kuliko hata CCM yenyewe, sbb mi sion kwa nini hawajaunganisdha nguvu kum-support Slaa amabaye anaonekana anakubalika. Matokeo yake ni kwamba wanataka kura zigawanyike kusudi CCM ishinde. Vyama pinzani hapa Tanzania ni viwili tu CHADEMA na CUF ile ya Zanzibar (CUF ya bara ni mamluki tu hawana kitu). Inanishangaza sana unakuta watu waelewa kama akina Mvungi lakini eti wako TLP, unajiuliza maswali mawili unakaa kimya, ...sijui kama ni kweli!