Lakuchumpa
Member
- Mar 28, 2012
- 73
- 13
Jamani 2mwamini nani watanzania
make wabunge tayar wameisha2geukia.
Mimi nahsi inatosha, katiba mpya lazima impe mpiga kura nguvu na mamlaka ya kumwondoa mbunge madarakani.
Kama hawa walokula fedha Tanesco wakijifanya wana kamati.
make wabunge tayar wameisha2geukia.
Mimi nahsi inatosha, katiba mpya lazima impe mpiga kura nguvu na mamlaka ya kumwondoa mbunge madarakani.
Kama hawa walokula fedha Tanesco wakijifanya wana kamati.