Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Du yaani kati ya watu waliowaza mbali kabla ya kufuga ni wewe.Ni kweli kabisa changamoto kubwa ya ufugaji nguruwe ni kwenye chakula,kinauzwa bei mbaya na hasa pumba za mahindi ambazo kwetu sisi ndiyo lishe kuu kwa nguruwe.
Kwa Maana hiyo ukiweza kupata hizo Mashine,utafuga kirahisi sana,na mafanikio utayaona haraka sana.

Ukiwa interested kuna kundi la whatsup la wafuga nguruwe na Mimi nimo humo,unaweza jiunga ili kupata morali ya kuendelea na ndoto yako
Pls naomba uniadd kwa namba 0753044414
 
It's very interesting looking into cash figures given, but has a lot of challenges esp when comes to feeding, security as well as farm location. Wengi walianza wakaishia njiani. Anyway it's good to try...!!
 
Back
Top Bottom