nipo dar ndugu....thanx
Hapo Dar unataka kufugia ktkt ya mji au nje ya mji? Kuna mfugaji mmoja mzuri na ana mbegu bomba pale Mapinga, na mwingine yupo Msakuzi. Unataka piglets wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipo dar ndugu....thanx
Hapo Dar unataka kufugia ktkt ya mji au nje ya mji? Kuna mfugaji mmoja mzuri na ana mbegu bomba pale Mapinga, na mwingine yupo Msakuzi. Unataka piglets wangapi?
bigup kwa elimu nzuri uliyotupatia
Mkuu, ni vizuri kuanza kufuga na piglets au wakubwa (kama vile majike wawili na dume moja)?
Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000
Banda la mabanzi=1,000,000
Chakula = 1,000,000
Dawa= 200000
After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,
utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000
After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700
Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike)
Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.
Welcome to the club
Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda sokoine ukaonane na wataalamu.
Kila mwaka nalima Mahindi, alizeti, maboga ekari 30 kwa ajili ya chakula cha
Nguruwe tu.
nakupenda saana mpwa,
Sasa naona umeweka mazuri tu , lakini weakness zake hujaziweka, mi navyojua hii biashara inahitaji commitment sana , tena pasua kichwa, siku zote mwenye biashara hii ukipishana nae lazima usikie harufu ya nguruwe hapo inaonyesha ni jinsi gani commitment yake itakavyokuwa.