Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Mkuu amoeba asante kwa kunifumbua macho.
Je chanjo wanapatiwa baada ya muda gani??
 
Wagalatia someni maandiko yenu.

Haya sikusema Mimi bali Ni BIBILIA ndio inaongea.

“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).

Agizo hilo limerudiwa katika Kumbukumbu la Shari’ah 14: 7 – 8 na pia Isaya 66: 17. Na katika Agano Jipya, Yesu naye amesema kuwa hakuja kutangua shari’ah na mafundisho ya manabii bali kukamilisha (Mathayo 5: 17). Kwa ibara hiyo ni kuwa Yesu pia aliharamisha ulaji wa nguruwe.

Hata hivyo, Ni Paulo ndiye aliyekuja akaenda kinyume na shari’ah hiyo kwa kutoa agizo kwa barua aliyowaandikia Warumi:

“Basi, usiiharibu kazi ya Mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. Vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya aanguke katika dhambi” (Waroma 14: 20).

Pia, “Katika kuungana na Bwana Yesu, nina hakika kwamba hakuna kitu chochote kilicho najisi kwa asili yake” (Waroma 14: 14).

Paulo amesema tena kuwa kila kitu alichoumba Mungu ni chema wala hakuna kinachohitaji kukataliwa (1 Timetheo 4: 3 – 5).

Paulo Adui wa Yesu na Mpinga Maandiko ya Yesu Ndio aliyewapa Nyie Ruksa ya kula Mpk paka.

Muogopeni Mungu enyi wagalatia.

Kifo hakiko mbali.
Wewe umeona kula nguruwe dhambi lakin wewe unavozini na wake za watu unaona poa, unavosema uongo, kutamani malo za watu ebu acheni unafiki pelekeni imani zenu huko na mtuache na imani zetu ebooo unajidai msafi kumbe mchafu kunuka kila siku unafumaniwa
 
Unichoke kwani tumefunga ndoa mimi na wewe?
Mimi kazi yangu kufikisha Ujumbe.
Nyie mchoke msichoke ujumbe ntafikisha tu ili wale wenye kumuogopa Mungu waache kufanya hii mambo ya HARAMU.

Acheni kula nyama Ya Nguruwe. YESU ALIKATAZA. na Ni Machukizo Kwa Mungu mkuu.
Acha unafiki wewe
 
wakuu natamani sana kupata mrejesho kwa ambao wamefanya project hii. Nami najiandaa kuanza. nimeanza kwa kutafuta eneo nimepata heka 4. Ninatafuta makadirio ya gharama za banda kwa sasa maana bei zimebadilika
 
View attachment 324772

- Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000
- Banda la mabanzi=1,000,000
- Chakula = 1,000,000
- Dawa= 200000
After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000.

After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700.Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike).

Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.
Welcome to the club

Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda sokoine ukaonane na wataalamu.

Kila mwaka nalima Mahindi, alizeti, maboga ekari 30 kwa ajili ya chakula cha nguruwe tu.


Nakupenda saana mpwa,









==========
USHUHUDA
Kama maesabu yangekuwa yanaenda hivyo,basi maskini wangekuwa wachache sana
 
wakuu natamani sana kupata mrejesho kwa ambao wamefanya project hii. Nami najiandaa kuanza. nimeanza kwa kutafuta eneo nimepata heka 4. Ninatafuta makadirio ya gharama za banda kwa sasa maana bei zimebadilika
Epuka kabisa Laana hii.
Yesu alikataza na wewe usije kuingia kwenye laana hii kuu.

Kwanza vipi watu wanakula mnyama anaekula mavi yake mwenyewe?

Dah....
Aisee mna moyo nyie!!
 
Acha Urongo Kahtan.Kama wewe hutumii waachie wanaotumia watumie?

Pili Pili usioila yakuwashia nini ?
Mimi ni mtaalamu wa afya na ni jukumu langu kuwatahadharisha Watu wa nchi yangu madhara ya Nguruwe.
Its not fiction pal. That's the fact.
Soma kidogo tu kuhusu Saratani zinazo sababishwa na nyama ya nguruwe utaona mwenyewe. Wala huna haja ya kunisikiliza mimi.
ingia kwenye mtandao ujionee mwenyewe.

Ahsanta.
 
Epuka kabisa Laana hii.
Yesu alikataza na wewe usije kuingia kwenye laana hii kuu.

Kwanza vipi watu wanakula mnyama anaekula mavi yake mwenyewe?

Dah....
Aisee mna moyo nyie!!
Wewe mbona laana yako ya kuzini na wake za watu, kusema uongo, kutamani vya watu, hujaacha acha kujidai msafi bro pua zote zinaamgalia chini wewe umeola dhambi tu kula kitimoto vingine hujaona daah hii movie yako ukifika episode ya kumi naomba izunduliwe
 
Wewe mbona laana yako ya kuzini na wake za watu, kusema uongo, kutamani vya watu, hujaacha acha kujidai msafi bro pua zote zinaamgalia chini wewe umeola dhambi tu kula kitimoto vingine hujaona daah hii movie yako ukifika episode ya kumi naomba izunduliwe
Mkuu uchafu huo uliotaja hapo juu Mimi sifanyi na wala mimi sijadai kuwa ni Msafi au bora kuliko wengine.
Bali ninachofanya ni Kutahadharisha Umma na madhara ya Huyu mnyama.

Kiafya hafai na Ki imani HAFAI.

Thats all.
 
Mimi ni mtaalamu wa afya na ni jukumu langu kuwatahadharisha Watu wa nchi yangu madhara ya Nguruwe.
Its not fiction pal. That's the fact.
Soma kidogo tu kuhusu Saratani zinazo sababishwa na nyama ya nguruwe utaona mwenyewe. Wala huna haja ya kunisikiliza mimi.
ingia kwenye mtandao ujionee mwenyewe.

Ahsanta.
Kama ni mtaalamu wa afya mbona maambukizi ya VVU yanaongezeka kila kukicha umesaidia nini taifa katika hili, kipindu pindu kimejazana Dar na mikoan umrefanya nini kuhakikisha umezuia mgonjwa ya Aibu kama haya?? Acha usanii na maigizo ya kujinga mbona ndege bata ni mchafu sana ila nyumbani kwako ndo mboga kuu??
Kwa taarifa tu kitimoto inalika mno miaka nenda Rudi na huwezi amin mwenz mtukufu huwa tunakosa wateja mno sijui kwa nini asilimia inapungua ila nadhani kwa sababu msanii wewe huwa unaungana na wale wamchao mungu kikamilifu ili kuficha makucha yako halafu mfungo ukiisha unarudi kambini mkeo na watoto wanahangaika kumpikia love ftari
 
Kama ni mtaalamu wa afya mbona maambukizi ya VVU yanaongezeka kila kukicha umesaidia nini taifa katika hili, kipindu pindu kimejazana Dar na mikoan umrefanya nini kuhakikisha umezuia mgonjwa ya Aibu kama haya?? Acha usanii na maigizo ya kujinga mbona ndege bata ni mchafu sana ila nyumbani kwako ndo mboga kuu??
Kwa taarifa tu kitimoto inalika mno miaka nenda Rudi na huwezi amin mwenz mtukufu huwa tunakosa wateja mno sijui kwa nini asilimia inapungua ila nadhani kwa sababu msanii wewe huwa unaungana na wale wamchao mungu kikamilifu ili kuficha makucha yako halafu mfungo ukiisha unarudi kambini mkeo na watoto wanahangaika kumpikia love ftari
Hakuna tiba ya ghafla ktk maradhi ulotaja hapo juu.
Na moja ya Sababu kuu za Kipindupindu ni Ulaji wa Nyama chafu km hio ya nguruwe.

Na Suala la Kukosa wateja mwezi wa Toba ni kuwa hata Makafiri mwezi huu wanauheshimu sana.
Mabaa mengi yanafungwa na Makahaba pia wanaacha tabia zao mbaya.
Hata wapika pombe za Moshi pia wanaacha.
Ikiwa Waislamu ndio walevi. Makahaba na Wala Nyama ya Nguruwe kiasi Cha kukukosesha wateja mwezi wa Toba inakuwaje tusiwaome wakiyafanya hayo ndani ya miezi 11?

Unapotaka kusema Uongo Jaribu Kuufananisha na Ukweli japo Kidogo.

Acha KUUZA hio Nyama ya Nyamafu. Ni DHAMBI kwa MUNGU na Ni Hatari Kwa AFYA.

Hizi pesa njaa zitakupeleka Pabaya mno kijana.
Badili Biashara fast.
 
Hakuna tiba ya ghafla ktk maradhi ulotaja hapo juu.
Na moja ya Sababu kuu za Kipindupindu ni Ulaji wa Nyama chafu km hio ya nguruwe.

Na Suala la Kukosa wateja mwezi wa Toba ni kuwa hata Makafiri mwezi huu wanauheshimu sana.
Mabaa mengi yanafungwa na Makahaba pia wanaacha tabia zao mbaya.
Hata wapika pombe za Moshi pia wanaacha.
Ikiwa Waislamu ndio walevi. Makahaba na Wala Nyama ya Nguruwe kiasi Cha kukukosesha wateja mwezi wa Toba inakuwaje tusiwaome wakiyafanya hayo ndani ya miezi 11?

Unapotaka kusema Uongo Jaribu Kuufananisha na Ukweli japo Kidogo.

Acha KUUZA hio Nyama ya Nyamafu. Ni DHAMBI kwa MUNGU na Ni Hatari Kwa AFYA.

Hizi pesa njaa zitakupeleka Pabaya mno kijana.
Badili Biashara fast.
Funga kwanza ile danguro yako
 
Kwa kuwa nna uzoefu wa kuendesha mradi wa nguruwe kwa mafanikio,watu wengi huulizia watoto wa nguruwe(piglets) kwa ajili ya kuanza mradi huo.Lakini hiyo sio namna nzuri kiuchumi.Namna sahihi kama unataka kifuga kibiashara ni kuanza na nguruwe wenye mimba!
SOMA HAPA UELEWE!Tutazungumzia chakula hapa kwa kuwa ndio gharama kubwa!
1.ukianza na piglet wa wiki 8,utamnunua kwa 60,000,
-week 4 za mwanzo atakula wastani wa 1kg/siku.Chukulia chakula 300/kg then jumla itakuwa =4x7x1x300=8,400
-kama utampandisha around week 28,week 20 atakula wastani wa 2kg/siku.jumla =20x7x2x300=84,000
-Atabeba mimba kwa siku 114.gharama ya chakula jumla=114x2x300=68,400
-atanyonyesha kwa week8.gharama ya chakula 8x7x6x300=100,800

Jumla kuu ya gharama ya piglet na chakula=261,600
Hii ni baada ya wiki 48(almost mwaka) ndio utaweza kuuza piglets wako wa mwanzo.akizaa 6 say na ukauza wote utapata 360,000


2.ukianza na nguruwe mwenye mimba ya wiki 8 uzao wa kwanza kwa 300,000
-utalea mimba kwa siku 58,gharama ya chakula=58x2x300=34,200
-gharama ya chakula wiki8 za kulea watoto=8x7x6x300=100,800
Jumla kuu ya gharama-435,00
Utaweza kuuza piglet wa kwanza ndani ya wiki 16(miezi4).
Kama umeelewa ndani ya wiki 40 tangu umenunua atakuwa amezaa mara 2 .gharama ya chakula itakuwa ni 304,200.Kama uzao wa kwanza majike uliwalea watakuwa tayari wamebeba mimba.

Gharama ya chakula kwenye mradi ndio kubwa,80%ya gharama zote.Ina maana ukitafuta namna ya kupunguza gharama ya chakula ndipo faida yako inaongezeka
 
Back
Top Bottom