Wadau ningeomba kuwasilisha kwenu ili muweze kunishauri.
Nilikuwa napenda sana ufugaji wa nyuki baada ya kuvutiwa sana na faida ya asali.
Nilikuwa naomba ushauri,mawazo na utaalam wenu wadau juu ya ufugaji wa nyuki ili niweze kuvuna asali nying,nzuri na ya uhakika.
Ningependa kufaham mazingira ambayo nyuki watazalisha asali nying,
je katika ufugaji wa nyuki hali ya hewa huwa ina depend?
Je kuna aina ya nyuki? Na aina ipi ni nzuri kwa ufugaji na huwa inatoa mavuno(asali) mengi?
Ningependa kufaham hayo kwanza au kama kuna mu2 ana kitabu au website yoyote yenye kuweza kunisaidia hata kama atataka nimchangie haina shida nipo tayali.
Msada wenu plz.
Malila, mimi nimeanza kuogopa kuwekeza TZ, tusije tukaweka pesa kwenye ufugaji wa nyuki -- Asali ikamiminika toka misitu ya Congo ikawa kama biashara ya mayai.
Nyuki anategemea maua yenye mchozo na maji yanayopatikana katika mazingira yake ili aweze kutengeneza asali na bidhaa zingine. Mali ghafi hizi lazima zipatikane ndani ya mzingo wa kilometa tatu. Hivyo sua la hali ya hewa na mazingira lina ushawishi katika uzalishaji wa asali. Na nyongeza ya hapo, aina ya maua yanayopatikana katika eneo husika hushawishi rangi na radha ya asali. Mfano asali ipatikanayo Singida toka Itigi Thicket ni amber wakati ile ya Tabora ni black!.. Ningependa kufaham mazingira ambayo nyuki watazalisha asali nyingi. .
Nijuavyo kuna makabila mengi ya nyuki. Lakini Tanzania inafuga ukoo wa Apis Mellifera (Nyuki Wakali) na Nyuki wadogo. Apis Mellifera kwa mtazamo na uelewa wangu ndiyo koo linalofugwa zaidi katika nchi zetu za Tropiki. Suala la mavuno mengi rejea jibu langu hapo juu.Je kuna aina ya nyuki? Na aina ipi ni nzuri kwa ufugaji na huwa inatoa mavuno(asali) mengi?
Unaweza kuwasiliana na hawa kwa elimu zaidi: Balaza la Asali Tanzania (Tanzania Honey Council)- Unaweza kupata mawasiliano yao hapa Tanzani Honey Expo - 2009 Wizara ya Maliasili, Idara ya Misitu na Nyuki Traceability-T Ltd - Traceability - T Ltd :: Welcome to our websiteNingependa kufaham hayo kwanza au kama kuna mu2 ana kitabu au website yoyote yenye kuweza kunisaidia hata kama atataka nimchangie haina shida nipo tayali.
Kwani wewe kwenu hakuna nyuki? Ninahisi kama wewe ni Mtu wa moshi Mchaga nini? Mimi ni Mzaramo hahahahahahhthanx mganga wa kienyeji.. nilikuwa natafuta sana taarifa hizi za ufugaji wa nyuki kutoka kwa mfugaji. Nimepata pakuanzia
Kwani wewe kwenu hakuna nyuki? Ninahisi kama wewe ni Mtu wa moshi Mchaga nini? Mimi ni Mzaramo hahahahahahh
Nakuona mkuu wewe ni CCM Damu Hongera na CCM yako ila CCM imeshakuwa Nzee CCM aliyoiacha Baba waTaifa Mwalim Nyerere na CCM hii iliyopo madarakani ni tofauti kabisa CCM imepitwa na wakati samahani kama nitakuudhi asante mkuu.sitaki kufuga kienyeji, huoni avatar?
Nakuona mkuu wewe ni CCM Damu Hongera na CCM yako ila CCM imeshakuwa Nzee CCM aliyoiacha Baba waTaifa Mwalim Nyerere na CCM hii iliyopo madarakani ni tofauti kabisa CCM imepitwa na wakati samahani kama nitakuudhi asante mkuu.
This is an area of interest...tukipata mashamba ya kufugia definetely that is the easiest thing to do. Hakuna kuchimbua visiki wala kupalilia. Ni kufuga nyuki na wezi wakiwasogelea wanachukua kubwa kwahiyo biashara inakuwa safe.
wadau ni kwa namna gani unaweza wekeza kwny mradi wa ufugaji nyuki kisha upate milioni kumi 10 kwa mwaka?soko kubwa la asali ni wapi ndani na nje ya nchi?