Ufugaji wa bata mzinga unalipa xana hukua haraka miezi mitano tu pia huuzwa kabei ya laki moja mpk moja na nusu fuga bata mzinga uage umaskini
Ufugaji wa bata mzinga unalipa xana hukua haraka miezi mitano tu pia huuzwa kabei ya laki moja mpk moja na nusu fuga bata mzinga uage umaskini
Ufugaji wa bata mzinga unalipa xana hukua haraka miezi mitano tu pia huuzwa kabei ya laki moja mpk moja na nusu fuga bata mzinga uage umaskini
Aisee waambie watu ukweli ufugaji wa bata mzinga sio rahisi kama watu wanavyofikiri. Kazi ya kuwalea vifaranga wa bata mzinga ni ngumu sana na inahitaji umakini wa hali ya juu, death rate ya vifaranga wa bata mzinga ipo juu.
Wanunuzi wenyewe mbona ni wachache sana?