M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
ujiandae pia kwenye bajeti ya chakula, maana ukikosea tu kwenye lishe wanadumaa! ukitaka materials za bei nzuri kwenye ujenzi wa banda lako nenda pale Nyuma ya business Park Ubungo, jirani na kiwanda cha UFI utapata mbao pamoja na bati kwa bei nzuri.
ukifanya research sana ,hutafuga,wewe anza tu ,na vichwa japo 5 tu,utaona matokeo yake,tatizo ni moja tu kwa hapa DAR,Security.jiandae kuweka ulinzi mzuri,kwani kuna watu ,wamekuwa professional wezi wa kitimoto.