Hivi wanajamii kunaulazima wakuchangia life jacket kwaajili ya usafiri wa majini? Mimi nahisi kuibiwa, kwani hilo nijukumu na wajibu wa hao wenye vyombo hivyo kununua vifaa husika vya usalama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.