Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,351
Zaidi ya Shilingi Bilioni 35.7 zikiwemo fedha za matumizi ya ofisi shilingi bilioni 5.7 na maendeleo Bilioni 30 zimetolewa hazina na kuingizwa kwenye tume hewa ya ushirika kwa kutumia voti namba 24 katika kipindi cha mwaka 2010/2011 kupitia wizara Ya Kilimo Chakula na Ushirika.
Source: ITV Tanzania.
Source: ITV Tanzania.