UFISADI wa ZADOCK na ofisi ya Meya KIMBISA

piteni Sam Nunjoma usiku ndio mtajua naongelea nini

Wachina kwanza kuweka zile taa za ECO-FRIENDLY na zinawaka utafikiri uko Shanghai na zinatumia solar...of course mlingoti wake utauona ulivyo mzito.

Point yangu kuhusu taa za bilicanas ilikuwa inaonekana kuwa ni idea nzuri lakini ukweli ni kuwa inaonekana kuwa FREEMAN MBOWE na ZADOCK supplier wao ni mmoja zile taa ni za residental/private na wala si za public areas kama bara barani
 
Baada ya kuzungukazunguuuuka its like you have hit where u were targeting...MBOWE,MBOWE,MBOWE.....
 
piteni Sam Nunjoma usiku ndio mtajua naongelea nini

Wachina kwanza kuweka zile taa za ECO-FRIENDLY na zinawaka utafikiri uko Shanghai na zinatumia solar...of course mlingoti wake utauona ulivyo mzito.

Point yangu kuhusu taa za bilicanas ilikuwa inaonekana kuwa ni idea nzuri lakini ukweli ni kuwa inaonekana kuwa FREEMAN MBOWE na ZADOCK supplier wao ni mmoja zile taa ni za residental/private na wala si za public areas kama bara barani

Listen GT, dont compare bananas and coconuts (Sam Nujoma na bibi tit) etc... the sources of funds are different, nature of contracts are different na hata lami ya bibi titi na ya sam nujoma ni tofauti

You have a good point lakini huna substance ya ku-justify, na hizo justification zipo na zilianza hata kabla ya Kimbisa kuwa meya.. it was part of innovative PPP as said before. Yalikuwa ya Makamba na Sykes era

Sasa ndani ya PPP tuna issue ya quality, kwa hiyo hayo sa sam nujoma sam nujoma haya-hold water because of contracts nature and values. Hilo la Bills sisemi maana ulianza zamani mara kwa washamba, mara hili mara lile

Get your facts vizuri ili utusaidie watanzania na sio kuanzia kiunoni... If we are not careful, we may dilute the word fisadi kuwa kama tapeli na tukashidwa kulaani matendo yake

C'mon dig deep and come up with good diamond to share maaannn
 
Listen GT, dont compare bananas and coconuts (Sam Nujoma na bibi tit) etc... the sources of funds are different, nature of contracts are different na hata lami ya bibi titi na ya sam nujoma ni tofauti

You have a good point lakini huna substance ya ku-justify, na hizo justification zipo na zilianza hata kabla ya Kimbisa kuwa meya.. it was part of innovative PPP as said before. Yalikuwa ya Makamba na Sykes era

Sasa ndani ya PPP tuna issue ya quality, kwa hiyo hayo sa sam nujoma sam nujoma haya-hold water because of contracts nature and values. Hilo la Bills sisemi maana ulianza zamani mara kwa washamba, mara hili mara lile

Get your facts vizuri ili utusaidie watanzania na sio kuanzia kiunoni... If we are not careful, we may dilute the word fisadi kuwa kama tapeli na tukashidwa kulaani matendo yake

C'mon dig deep and come up with good diamond to share maaannn

Nafikri issue kubwa hapa ni ku-check specifications.........

Morani75/Fundi Mchundo/Invisible.....hebu tuelimisheni kidogo
......hivi hizi taa za barabarani je ni kweli specs zina tofauti kulingana na Road hierachy/classification au.....?
 
Point yangu ni kuwa taa zinazowekwa bara barani na makampuni binafsi ya utangazaji mojawapo ikiwa ni ya zadock zina viwango vya hali ya chini ukilinganisha na zile zilizowekwa na wachina sam nunjoma

sasa kama kuna mtu anaona zina viwango vya juu then sawa tuu kwan hata rada iliponunuliwa tuliambiwa ni ya kisasa lakini sasa hivi tunaspend mamilioni kutaka kujua ilikuwaje tukanunua rada mbovu
 
Point yangu ni kuwa taa zinazowekwa bara barani na makampuni binafsi ya utangazaji mojawapo ikiwa ni ya zadock zina viwango vya hali ya chini ukilinganisha na zile zilizowekwa na wachina sam nunjoma

sasa kama kuna mtu anaona zina viwango vya juu then sawa tuu kwan hata rada iliponunuliwa tuliambiwa ni ya kisasa lakini sasa hivi tunaspend mamilioni kutaka kujua ilikuwaje tukanunua rada mbovu

Ewaaaa;

Now you are talking, nobody disagreed kwamba zile taa ni duni, tatizo ni title yako then ukahamia kwenye mabango ya selasie, then mbowe basi! zile taa may not be up to quality na kama umenisoma vizuri nikazungumzia mpaka tiles, magari, ndege, meli treni nk. Na hata wewe inawezekana ulivyoagiza toka china recently ni substandard ila ndio uwezo wako (karibu saana)

Kumbuka hata lami ya europe na kwetu si sawa

Unapoanza na zadock na kimbisa tunakuwa na wasiwasi maana siku hizi laki tu mtu ananyanyua kinywa... si ndio bongo yetu ati... kuanzia vitu mpaka watu vyote mashaka tupu
 
Ewaaaa;

Now you are talking, nobody disagreed kwamba zile taa ni duni, tatizo ni title yako then ukahamia kwenye mabango ya selasie, then mbowe basi! zile taa may not be up to quality na kama umenisoma vizuri nikazungumzia mpaka tiles, magari, ndege, meli treni nk. Na hata wewe inawezekana ulivyoagiza toka china recently ni substandard ila ndio uwezo wako (karibu saana)

Kumbuka hata lami ya europe na kwetu si sawa

Unapoanza na zadock na kimbisa tunakuwa na wasiwasi maana siku hizi laki tu mtu ananyanyua kinywa... si ndio bongo yetu ati... kuanzia vitu mpaka watu vyote mashaka tupu

mjomba taratibu

haile selasie,nje pale bilicans,sam nunjoma ilikuwa ni mifano tuuu sasa sijui ulitaka nizungumze bila mifano?

Pili sijui umetoa wapi taarifa kuwa nilivyoviagiza from China ni substandard lakini nijuavyo mimi ni kuwa sina biashara yoyote ile inayohusiana na milingoti au mabango ya matangazo from China...hebu fafanua ulikuwa unamaanisha nini hasa

Nilipomtaja Zadock ni kwa sababu amekuwa akilalamikiwa na wafanyakazi wa chini jiji kuwa kwa sababu anatembeza pochi ni vigumu kuquestion hata quality ya kazi au vitu anavyogawana na jiji...mfano aliwaambia jiji kuwa angeweka taa barabara ya maji machafu mpaka kwa nyerere kwa sharti kuwa aruhusiwe kuweka mabango ya matangazo...sasa sina uhakika na ukweli kwenye hili lakini ndio maarufu sana kwenye duru za maongezi ya mabango Dar...the question is je where do these people stop? lakini usiwe na taabu ndio serikali hii hii ambayo ilisaini mikataba ya madini na leo hi watu wako hayaaaaaaaaaaaaa bora tungewaita wataalam wa hii mikataba...

I repeat I cant knock Zadock's hustle lakini hali kama hii inatisha

sasa kuhusus PPP nitarudi baadae ili kukujibu ipasavyo
 
unajua ukienda kule Mwenge ile bara bara ya SAM NUNJOMA usiku utafikiri uko SHANGHAI kwa jinsi ilivyopendeza taa zote zina waka kasoro kipande cha Milimani City -Mwenge ...halafu ukitazama taa za anazoweka FISADI Zadock huku bara bara ya Airport-Bibi titi ushavu na vichekesho vitupu

I mean its a disgrace...hapo bado sijaongelea lile MTARO mbele ya HAIDERY PLAZA na yale maji machafu kwenye mtaro wa Petrol station ya posta mpya


mmesahau ile kituo yenu ya mwenge wanacholipana ,aliandikiana akitengeneze ati makato yake kwenye kudai kila gari litakaloingia kazi kwelikweli....
 
mjomba taratibu

haile selasie,nje pale bilicans,sam nunjoma ilikuwa ni mifano tuuu sasa sijui ulitaka nizungumze bila mifano?

Pili sijui umetoa wapi taarifa kuwa nilivyoviagiza from China ni substandard lakini nijuavyo mimi ni kuwa sina biashara yoyote ile inayohusiana na milingoti au mabango ya matangazo from China...hebu fafanua ulikuwa unamaanisha nini hasa

Nilipomtaja Zadock ni kwa sababu amekuwa akilalamikiwa na wafanyakazi wa chini jiji kuwa kwa sababu anatembeza pochi ni vigumu kuquestion hata quality ya kazi au vitu anavyogawana na jiji...mfano aliwaambia jiji kuwa angeweka taa barabara ya maji machafu mpaka kwa nyerere kwa sharti kuwa aruhusiwe kuweka mabango ya matangazo...sasa sina uhakika na ukweli kwenye hili lakini ndio maarufu sana kwenye duru za maongezi ya mabango Dar...the question is je where do these people stop? lakini usiwe na taabu ndio serikali hii hii ambayo ilisaini mikataba ya madini na leo hi watu wako hayaaaaaaaaaaaaa bora tungewaita wataalam wa hii mikataba...

I repeat I cant knock Zadock's hustle lakini hali kama hii inatisha

sasa kuhusus PPP nitarudi baadae ili kukujibu ipasavyo

Take it easy mkuu,

My point highlighted the possibility of buying substandard according to "standards" i hope you know what i mean and not confirmation that they are substandard... and i know you dont do street light business or bilboards... anyway sorry if you are offended i just wanted to focus on one issue and you had been swinging around quality, ufisadi and contracts altogether

I will stick to the point of specifications notched in the contract entered na kama system imeshindwa kuyaangalia kimakini then kosa si la zadock kosa ni la serikali na watendaji wake

BUt if you want more about hiyo PPP fafa ya jamaa we sema tu utapata ila usianze na conclusion wakati hujakokotoa swali muzeyah
 
sasa milingoti ishaanza kuangua kutokana na udhoofu wa quality, ZODOCK ndio keshafilisika na barter trade yake na jiji ndio hivyo tena...in the end kawasainisha mkataba wa miaka kumi chini wa chini na hakuna review wa kuuliza swali na bila kusahau mabango ndio yashatapakaa kila kona mpaka sasa watu washaanza kuingoa toka kwenye maeneo wanayoishi

kazi kweli kweli
 
I know Zadoc to be a man of very good quality products. How can anything related to him be of such poor quality. Na hao inspectors na ma engineers wa City, how could they accept such poor quality product. It really leaves one guessing there could be a hand of Ufisadi somewhere. Hey Tanzania, we are past this now tuendelee tuache ubinafsi so obvious
It is pity ma engineer wamekuwa kama watazamaji. Sioni mchango wao kuboresha mambo mengi.Au ndo wanajituma pale tu penye uwepo na vijisenti kama tenders na kubomoa nyumba za dampo?
 
It is pity ma engineer wamekuwa kama watazamaji. Sioni mchango wao kuboresha mambo mengi.Au ndo wanajituma pale tu penye uwepo na vijisenti kama tenders na kubomoa nyumba za dampo?

Ndahani!

Huyu jamaa anasema Zadoc ana quality nzuri zipi? Zadock ni tapeli mzuri sana tunamafahamu tangu anapiga picha mpaka akawaingiza akina Kasambala aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa iliyokuwa Posta na simu katika ile tenda ya kuchapisha vitabu vya simu mpaka alivyoweza kujenga ile nyumba pale Shaurimoyo !

Na katika awamu ya pili jinsi CCM walivyomwezesha kwa kupitia printing na kutengeneza fliers za kampeini. Huyo Kimbisa mnayemwita Mayor alikuwa anauza Mayai na baada ya kukwapua mamilioni ya Red Cross ameingia kwenye siasa naye ni msani na mwizi ! Ni aibu kumwita Alhaji!!!

Tatizo kubwa la huyu Zadock mwanaharamu ni elimu amefikia kuweka residence kule SA akidhani ni kuzuri bahati mbaya hakumbuki alikotoka akipiga picha mitaani miaka ya themanini!
Kama waziri mkuu ni kilaza ambaye anasimamia tamisemi ambayo nayo ni tatizo. Kama humfahamu mtu vizuri then ni bora kukaa kimya.
 
Welll, well, well... Thats a good one GT;

Yes they may be substandard, but even those sub-standards were not there a few months ago na jiji limeshindwa hata ku-repair za zamani. My big questions is "do we have to remove them or reject them rather?" au tukubali nusu shari at least ma-bar maids wetu wasibakwe ? na wasafiri wa usiku waweze kubadilisha tyres na kuongeza maji kwenye rejeta zao?

YEs, ni sub-standard... lets propose alternative na tufanye upembuzi wa gharama halisi kisha tuziweke;

Tanzanians never stop to amaze themselves, Tiles na vifaa vingi vya ujenzi nyumbani from china substandard, magari - used, ndege - used, treni - used, meli/vivuko - used, majumba - substandard, lami barabarani - substandard...Duh

GT nice try buddy!! ...connecting the dots, hasa nikikumbuka ulimuulizia Nambua, sasa na hili la kimbisa, then Zaddock probably we'll end to one small guy in Dar [thats where you are heading!!]

Regards to Zabein

Vyote ulivyotaja hapo ni kweli ni USED lakini si kwamba Taifa limeshindwa kuweka vipya. Hii yote inatokana na UFISADI ambao GT kazungumzia. Unanunua ndege used kwa bei mbaya, ukija ukaweka matengenezo (kutokana na ubovu wake) ni sawa na kununua mpya. Sasa huoni kama huo ni ufisadi??????????
Ukifungua vitabu vya mahesabu utakuta ni UPUPU mtupu, huo si ufisadi?
 
Ndivyo tulivyo watanzania ukiwa na nguvu ya pesa na uwezo wa kuwashawishi watendaji wetu unaweza kufanya lolote ndani ya bongo yetu, akina Zadoki wako creative kuliko watendaji wetu unategemea nini hapo, si upumbavu tu.
 
Ndahani!

Huyu jamaa anasema Zadoc ana quality nzuri zipi? Zadock ni tapeli mzuri sana tunamafahamu tangu anapiga picha mpaka akawaingiza akina Kasambala aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa iliyokuwa Posta na simu katika ile tenda ya kuchapisha vitabu vya simu mpaka alivyoweza kujenga ile nyumba pale Shaurimoyo !

Na katika awamu ya pili jinsi CCM walivyomwezesha kwa kupitia printing na kutengeneza fliers za kampeini. Huyo Kimbisa mnayemwita Mayor alikuwa anauza Mayai na baada ya kukwapua mamilioni ya Red Cross ameingia kwenye siasa naye ni msani na mwizi ! Ni aibu kumwita Alhaji!!!

Tatizo kubwa la huyu Zadock mwanaharamu ni elimu amefikia kuweka residence kule SA akidhani ni kuzuri bahati mbaya hakumbuki alikotoka akipiga picha mitaani miaka ya themanini!
Kama waziri mkuu ni kilaza ambaye anasimamia tamisemi ambayo nayo ni tatizo. Kama humfahamu mtu vizuri then ni bora kukaa kimya.

Sina nia ya ku-criticise lakini kwa mambo ya mtazamo tu kama Zadock alianza kwa kupiga picha mitaani na sasa amefikia such a high profile level, then ni mtu aggressive katika maisha na anawekeaza hapa hapa nchini badala ya kupeleka nje kama kina Mkapa, Sumaye, Chenge and others. Watu wa kulaumu ni engineers wetu amabao wamepewa RUNGU la kukagua na kupitisha vifaa vyote katika mkataba ili kuwa na UBORA, maana pengine Zadock/A1 outdoors walinunua kuleta kufunga taa wakijua ni mali safi kabisa. Kama hao engineers na wahusika wengine wengefanya kazi yao kwa uhakika basi hayo malalamiko yasingekuwapo na Zadock/A1 outdoors wao ndiyo wangepata hasara.
Hivyo tusimlaumu tu bali tuangalie upande wa pili wa shilingi ambao ndiyo haswaa unasitahili lawama
 
Mambo niliyokuwa nayaongelea haya hapa

Nguzo zenyewe hizi hapa...from michuzi blog


SANY4892.JPG


http://2.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/Svp6-lnPGBI/AAAAAAAA0Pg/j9rOsBodWZA/s1600/SANY4892.JPG

moja ya nguzo chache za taa za barabarani mtaa wa bibi titi mohamed street ukiwa hoi baada ya kupigwa daflao siku chache zilizopita. jeshi jipya la polisi jiji mpo??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom