Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,192
- 3,007
Kuuza Chai Ni Kupiga Soga na Kuzungumza yale usiyo na Uhakika nayo (Waulize Vijana wa Mlimani). Inaonekana Mkuu Umekurupuka hata hujapiga mswaki ukaweka hilo Tundiko Lako.
Note:JF ni mahali pa watu wanaopenda kufikiri kabla hawajatundika lolote.
BTW Karibu Jamvini kata ishu na siyo Story wala Matukio Mkuu!
Asante
Naam kijana naona anaosha kinywa hadi kitakate asubuhi, anataka kukata bajeti ya kutumia whitedent kutoka kwa mzee mengi..
Kwi kwi kwi..