Mheshimiwa , babu aka kijana wa zamani reginald mengi nani asiejua ufisadi wako. ufisadi wa mengi ni huu hapa.
1: kampuni yake ya vinjwaji hailipi kodi
2: mishahara yake ya ipp media ipo ya ina mbili
a: kuna watu wanaochukua pesa dirishani kila mwezi kwenye baasha tu na wana zaidi ya miaka kumi ya kazi. hawana PAYE wala NSSF
b: kuna watu wanaochukulia mshahara benki na kukatwa shahiri zote yaani PAYE and NSSF ambao hawazidi hata mia ukilinganisha na wafanyakazi ambao kampuni inao
3: TRA hawa audit wala kufatilia mambo ya mengi
mfano halisi mwaka jana alipowachisha kazi watu ilikuwa balaa tupu.
JAMANI SINA NIA MBAYA NA LAKINI HIZI NI TATU KATI TA MATENDO 1000 YA UFISADI YA MENGI NITAENDELEA WIKI IJAYO WIKI END NJEMA
ROSTAM, SOMAIA, MANJI, PATEL, JEETU HAWA NDIO SOURCE YA UMASKINI BONGO BILA KUWASAHAU WENGINE.
UNAPOMNYOOSHEA MWENZIO KIDOLE KIMOJA AMBALIA KWAKO VINGAPI VINAKUNYOOSHEA WEWE
NANI WA KUMFUNGA PAKA KENGELE
1: kampuni yake ya vinjwaji hailipi kodi
2: mishahara yake ya ipp media ipo ya ina mbili
a: kuna watu wanaochukua pesa dirishani kila mwezi kwenye baasha tu na wana zaidi ya miaka kumi ya kazi. hawana PAYE wala NSSF
b: kuna watu wanaochukulia mshahara benki na kukatwa shahiri zote yaani PAYE and NSSF ambao hawazidi hata mia ukilinganisha na wafanyakazi ambao kampuni inao
3: TRA hawa audit wala kufatilia mambo ya mengi
mfano halisi mwaka jana alipowachisha kazi watu ilikuwa balaa tupu.
JAMANI SINA NIA MBAYA NA LAKINI HIZI NI TATU KATI TA MATENDO 1000 YA UFISADI YA MENGI NITAENDELEA WIKI IJAYO WIKI END NJEMA
ROSTAM, SOMAIA, MANJI, PATEL, JEETU HAWA NDIO SOURCE YA UMASKINI BONGO BILA KUWASAHAU WENGINE.
UNAPOMNYOOSHEA MWENZIO KIDOLE KIMOJA AMBALIA KWAKO VINGAPI VINAKUNYOOSHEA WEWE
NANI WA KUMFUNGA PAKA KENGELE