wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Kuna ugomvi mkubwa umeibuka wizara ya michezo na utamaduni ambako kuna maofisa wa ngazi ya juu zaidi ya 20 na wanasiasa wanaotaka majina yao yawepo kwenye hii ziara ambayo wote tunajua hakuna mwanamichezo hata mmoja atakayeleta medali yoyote ile
Lakini pia hapa wizarani kuna fungu kubwa mno limetengwa kwa ajili ya per diem za kulipa hawa maofisa ambao hawahitajiki kwenda huko. Hivi leo kuna majina mengine yameongezwa ili yapelekwe Ubalozi wa UK kwa ajili ya mambo ya kupata visa ya Olympiki lakini wako bize na kuangalia uwezekano wa kwenda kununua malori na makachala kwa ajili ya biashara zao hapa bongo.
Pia katika huu mkao wa kula ambao kama watu hawatokuwa makini balozi wetu huko UK anaweza kutumbukia kwenye shimo kwani yeye anataka kuingizwa kwenye hili dili.
Nitaendelea kuwahabarisha kadri muda unavyokwenda lakini watu wanata wapewe safari ya wiki 2 huko London.
Je, kambi ya Upinzani (waziri kivuli wamichezo wa CHADEMA) watasema neno au watakaa kimya?
Lakini pia hapa wizarani kuna fungu kubwa mno limetengwa kwa ajili ya per diem za kulipa hawa maofisa ambao hawahitajiki kwenda huko. Hivi leo kuna majina mengine yameongezwa ili yapelekwe Ubalozi wa UK kwa ajili ya mambo ya kupata visa ya Olympiki lakini wako bize na kuangalia uwezekano wa kwenda kununua malori na makachala kwa ajili ya biashara zao hapa bongo.
Pia katika huu mkao wa kula ambao kama watu hawatokuwa makini balozi wetu huko UK anaweza kutumbukia kwenye shimo kwani yeye anataka kuingizwa kwenye hili dili.
Nitaendelea kuwahabarisha kadri muda unavyokwenda lakini watu wanata wapewe safari ya wiki 2 huko London.
Je, kambi ya Upinzani (waziri kivuli wamichezo wa CHADEMA) watasema neno au watakaa kimya?